Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Amenunua ugomvi kazi kwake,Wanaokunywa Pepsi hawafahi kuheshimiwa G? Tutake radhi tafadhali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Tajiri...Nachukua zile za chupa ya zamaniwahi kwa mangi mwambie akupe pepsi tatu (3) za baridiiii alafu wahi kule kwa waziri mkuu leta namba ya wakala chap muamala usome

Imetoka hiyooooo....... ulilala eeh.... mcheki mahondaw anaweza akawa amebaki na masalia
Mkuu sijaiona hakikisha inanifikia kwa wakatiSawa Tajiri...Nachukua zile za chupa ya zamani
Chek kwa Waziri Fasta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwema mkuu kama umeshiba imekaa vizuri nilipata wasiwasi
😂😂😂 Karibu milimani..Mkuu mahondaw huyu Depal ndy mgumu hasa..Mimi nawapenda wameru
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Tuzisake hela ndugu yangu na sie tuwe watu 😀😀😀Wakati Depal anapost mambo matamu km haya ndugu yangu Mimi nilikuwa fofofo na hile mvua jumlisha night shift jumlisha hakuna hela mfukoni..
Basi na ngiri nae na Ile ubaridi akasema ngoja nikunyooshe mbwa wewe
Leo ndy nakutana na mambo matamu km haya
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Amin a irudiwe kabisa!
😁😁😁Kachukue pale unapochukuliaga tayari nimekununulia nyagi kubwa na kitimoto lositi nusu na kavu nusu na ndizi
Nenda
Baadae nitakutumia, tena isiyokuwa cropped wala haina emoji.Hamna hamnaaa! Nakazia irudiwe aisee!
Umenikimbia au niaje 😂Tuzisake hela ndugu yangu na sie tuwe watu 😀😀😀
Amenunua ugomvi kazi kwake,
Mkuu geraldincredible njoo upambane na wenye pepsi yao huku





Mbona hujatoa mchumba?
Kwamba Imetoka? Sema kweli..Imetoka hiyooooo....... ulilala eeh.... mcheki mahondaw anaweza akawa amebaki na masalia
Tayari Boss wangu...Sina mchezo na taarifa kama hizi mimiMkuu sijaiona hakikisha inanifikia kwa wakati
