Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 4, 2019 #11,661 kapeace said: Kupendeza hivi nabonyeza ngapi Click to expand... Bonyeza nyota kisha tisa kupata mtupio huo bure
kapeace said: Kupendeza hivi nabonyeza ngapi Click to expand... Bonyeza nyota kisha tisa kupata mtupio huo bure
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 4, 2019 #11,662 Karma said: Click to expand... Naona umeona Sasa jinsi nilivyo serious Nimepiga course ya kisukuma balaa.. Ng'ombe 70 mchezo
Karma said: Click to expand... Naona umeona Sasa jinsi nilivyo serious Nimepiga course ya kisukuma balaa.. Ng'ombe 70 mchezo
lossoJR JF-Expert Member Joined Oct 11, 2012 Posts 2,711 Reaction score 2,387 Oct 4, 2019 #11,663 Mmh unapiga gym nini...maana viwiko vinaonekana konki Saint anne said: Usiku mwemeni. Picha yangu ya mwisho humuView attachment 1223793 Click to expand...
Mmh unapiga gym nini...maana viwiko vinaonekana konki Saint anne said: Usiku mwemeni. Picha yangu ya mwisho humuView attachment 1223793 Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 4, 2019 #11,664 Hannah said: Usiku mwemeni kesho nayo siku. Tukajenge ndoa sasa Click to expand... Amen.... Mapopo tunawalindia thread yenu
Hannah said: Usiku mwemeni kesho nayo siku. Tukajenge ndoa sasa Click to expand... Amen.... Mapopo tunawalindia thread yenu
Lizarazu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 6,331 Reaction score 7,885 Oct 4, 2019 #11,665 Saint anne said: Hizo ndio za out mwenzio.. Hujaziona nyingine Sasa za kila siku Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni Yaani Mimi..Nina matatizo Sana Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia Click to expand... Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere. Keep it real girl.. More admiration to you
Saint anne said: Hizo ndio za out mwenzio.. Hujaziona nyingine Sasa za kila siku Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni Yaani Mimi..Nina matatizo Sana Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia Click to expand... Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere. Keep it real girl.. More admiration to you
ni kweli JF-Expert Member Joined Feb 1, 2017 Posts 236 Reaction score 288 Oct 4, 2019 #11,666 Mkokaa said: View attachment 1223783 Aisee nmekuona Click to expand... Nimeona L shape furogi.
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 72,173 Reaction score 190,751 Oct 4, 2019 #11,667 Sakayo said: Mie ndo nilikujulia huko kwenye mabifu... Nikawa nakuogopa balaa Click to expand... Aisee, kumbe mate ulinifahamia kwenye mkwaruzano
Sakayo said: Mie ndo nilikujulia huko kwenye mabifu... Nikawa nakuogopa balaa Click to expand... Aisee, kumbe mate ulinifahamia kwenye mkwaruzano
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 4, 2019 #11,668 Hannah said: Nilijua umelala Click to expand... nipo hapa team popo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 4, 2019 #11,669 Lizarazu said: African kwiini.. Usitubanie pics bhana. Unapendezea kweli kwenye hizi African attires!! Click to expand... Akhsante Tumekumbukwa waafrika Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote. Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu
Lizarazu said: African kwiini.. Usitubanie pics bhana. Unapendezea kweli kwenye hizi African attires!! Click to expand... Akhsante Tumekumbukwa waafrika Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote. Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 4, 2019 #11,670 lossoJR said: Mmh unapiga gym nini...maana viwiko vinaonekana konki Click to expand... Ndio Tena napiga gym balaa Na kushinda shamban...sio mtoto wa mjini mlaini Kama wewe. Huo ulaini nautoa wapi?
lossoJR said: Mmh unapiga gym nini...maana viwiko vinaonekana konki Click to expand... Ndio Tena napiga gym balaa Na kushinda shamban...sio mtoto wa mjini mlaini Kama wewe. Huo ulaini nautoa wapi?
Jimmie Gatsby JF-Expert Member Joined Mar 7, 2013 Posts 3,588 Reaction score 7,287 Oct 4, 2019 #11,671 Shunie said: Nitapajua tu jamani si maili moja insta babe Click to expand... hahahha umekosaaaa ni kiluvya gogoni
Shunie said: Nitapajua tu jamani si maili moja insta babe Click to expand... hahahha umekosaaaa ni kiluvya gogoni
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 4, 2019 #11,672 Saint anne said: Naona umeona Sasa jinsi nilivyo serious Nimepiga course ya kisukuma balaa.. Ng'ombe 70 mchezo Click to expand... naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aise
Saint anne said: Naona umeona Sasa jinsi nilivyo serious Nimepiga course ya kisukuma balaa.. Ng'ombe 70 mchezo Click to expand... naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aise
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 4, 2019 #11,673 Karma said: naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aise Click to expand... Piga maombi. Na wewe si utakuwepo kuwapokea wale ng'ombe eeh
Karma said: naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aise Click to expand... Piga maombi. Na wewe si utakuwepo kuwapokea wale ng'ombe eeh
Lizarazu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 6,331 Reaction score 7,885 Oct 4, 2019 #11,674 Saint anne said: Akhsante Tumekumbukwa waafrika Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote. Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu Click to expand... Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha. Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu.
Saint anne said: Akhsante Tumekumbukwa waafrika Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote. Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu Click to expand... Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha. Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 5, 2019 #11,675 Lizarazu said: Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere. Keep it real girl.. More admiration to you Click to expand... Hahahaha... Hali halisi iko zaidi ya pale Ushamba mzigo
Lizarazu said: Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere. Keep it real girl.. More admiration to you Click to expand... Hahahaha... Hali halisi iko zaidi ya pale Ushamba mzigo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 5, 2019 #11,676 Lizarazu said: Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha. Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu. Click to expand... Sawa mwifwa wa anko magu
Lizarazu said: Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha. Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu. Click to expand... Sawa mwifwa wa anko magu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 5, 2019 #11,677 Saint anne said: Hizo ndio za out mwenzio.. Hujaziona nyingine Sasa za kila siku Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni Yaani Mimi..Nina matatizo Sana Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia Click to expand... Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimi
Saint anne said: Hizo ndio za out mwenzio.. Hujaziona nyingine Sasa za kila siku Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni Yaani Mimi..Nina matatizo Sana Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia Click to expand... Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 5, 2019 #11,678 Karma said: Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimi Click to expand... Mimi hata mpangilio sina
Karma said: Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimi Click to expand... Mimi hata mpangilio sina
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 5, 2019 #11,679 Depal said: View attachment 1223588 Njooo nyumbani tukae, tukeshe tunajsnap Click to expand... Mbona hukunitag twin chibonge jamani
Depal said: View attachment 1223588 Njooo nyumbani tukae, tukeshe tunajsnap Click to expand... Mbona hukunitag twin chibonge jamani
Lizarazu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 6,331 Reaction score 7,885 Oct 5, 2019 #11,680 Karma said: Manipulated? Hivi kwanini wanaume wengi mnaona kama kuwa fair kwa wanawake ni kuwa manipulated? Click to expand... Unajua hili suala la kuwa fair kwa mwanamke ndio limepelekea leo hii tunaishi kwenye gynocentric society. Maana Kwa mwanamke neno fair lina maana ya zaidi ya fair. It's kinda one-sided advantageous shiit, as a red piller i take it as manipulation.
Karma said: Manipulated? Hivi kwanini wanaume wengi mnaona kama kuwa fair kwa wanawake ni kuwa manipulated? Click to expand... Unajua hili suala la kuwa fair kwa mwanamke ndio limepelekea leo hii tunaishi kwenye gynocentric society. Maana Kwa mwanamke neno fair lina maana ya zaidi ya fair. It's kinda one-sided advantageous shiit, as a red piller i take it as manipulation.