Zimba XXV
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,785
- 4,126
Nitajazia nyama katika hizo notes aseeMuda umekaribia.
Nitakuja kuchukua notes.
Una katoto kazuri mno![]()


Nitajazia nyama katika hizo notes aseeMuda umekaribia.
Nitakuja kuchukua notes.
Una katoto kazuri mno![]()


Super weird ehhh ☺What a coincidence. Niko naangalia The Karate Kid III hapa then nakutana na hii comment yako kuhusu Mr Miyagi.
Haha stop lying to children (in Jamie Foxx's voice)
View attachment 2015566
Unaruhusiwa kuanza introduction mkuu.Nitajazia nyama katika hizo notes asee![]()
Tuone kwanza ulivyo halafu nipime kama unaweza nisokotea.
Kazi yako ni njema.

Nimetoka nje kuwaangalia mbuzi wa maza house 😂😂Mbuzi kweeeel wewe![]()
Kwa kweli imeniharibia ratiba, sikuwa na ratiba ya kulala Mbeya ila sina budi kulala.Ikiwezekana kapigeni tu vyombo kwanza mkuu.
Kuna gari imeziba njia hapa darajani katikati ya Iyunga na njiapanda ya Itende.
Na pale hata kupita pembeni haiwezekani maana kulia na kushoto ni korongo lisilo hata na uzio.
Shalom greencity
Shalom Mbeya
Jiji kubwa ila ina Barabara moja tu,tena iliyo finyu mno.
NB
Hivi si ni wewe ulisema utanipa lift?
Mbona unapita kimya mkuu??
Nipakilie basi japo maparachichi yangu,ntayakutaga mbezi.
Poleeee! Sikudhamiria mummy! Mkono ulitereza kwa keyboardNimetoka nje kuwaangalia mbuzi wa maza house
Weuh!! sahii nimerudi ndani nalia.



Mimi nipo nakula gizani kama tola.Dar mgao mchana upo eneo la biashara
Jioni upo nyumbani
Mungu ibariki Tanesco
Nibebee unga mkuu.Kwa kweli imeniharibia ratiba, sikuwa na ratiba ya kulala Mbeya ila sina budi kulala.
Twende zetu City Pub tuianze weekend rafiki
Kwani umerudi Mbeya lini? I thought you are still in Dar es Salaam.
Una kilogramu ngapi za hayo Maparachichi nikubebee?
Daah ulivyosema Shalom umenikumbusha jina la mtoto wa aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya na sasa Dar, Amos Gabriel Makalla.Ikiwezekana kapigeni tu vyombo kwanza mkuu.
Kuna gari imeziba njia hapa darajani katikati ya Iyunga na njiapanda ya Itende.
Na pale hata kupita pembeni haiwezekani maana kulia na kushoto ni korongo lisilo hata na uzio.
Shalom greencity
Shalom Mbeya
Jiji kubwa ila ina Barabara moja tu,tena iliyo finyu mno.
NB
Hivi si ni wewe ulisema utanipa lift?
Mbona unapita kimya mkuu??
Nipakilie basi japo maparachichi yangu,ntayakutaga mbezi.
Haha sema muendelezo wake hata haueleweki hasa hiyo ya tatu ambayo Karate Kid ni mwingine kabisa tena mdada. Mie niliipenda ile ya kwanza tu na ile remake ya Jaden Smith basi.Super weird ehhh
Inabidi na sisi tuziangalie tena
I'll try my best
![]()
Kuna watu huwa hawapendi mbwembwe.Daah ulivyosema Shalom umenikumbusha jina la mtoto wa aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya na sasa Dar, Amos Gabriel Makalla.
Huyo Shalom tumesoma naye shule moja class moja na alikuwa rafiki yangu sana ila hata siku moja hatukuwahi jua baba yake ni mtu mkubwa maana alikuwa hatumii hilo jina la Makalla alikuwa anatumia tu Shalom Gabriel Amos. Nilikuja kujua mwenyewe nikiwa chuo baada ya kuconnect dots na nilikuwa tayari nishapotezana naye itakuwa labda chuo alienda kusoma nje.
Hiyo ndiyo inaitwa kupigwa home and awayDar mgao mchana upo eneo la biashara
Jioni upo nyumbani
Mungu ibariki Tanesco


Yeah kwao wote wana majina mazuri aliniambia ana mdogo wake wa kiume anaitwa Elohim. Kwao wako wawili tu.Kuna watu huwa hawapendi mbwembwe.
Watu wazito tu na hawasemi.
Alikuwa na jina zuri.