Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1636976889225.jpg
 
Kweli kabisa ...
Mungu awabariki wadada zetu nimetokea familia ya ke tupu , sisters for life .

Huyu dada kwa kunipa vitu namkubali,,hapo amenigawia na tugauni tuzuri twa kibinti..
Yaani sijawahi kwenda kwake nikatoka mikono mitupu.
Mimi namshukuru Mungu ke tupo wengi,ila nimebahatika kaka wawili tu ambao ndio nimefuatana nao.

Uzao wetu umekuwa vise versa,dada zangu wote wanazaa watoto wa kiume tu,na kaka yangu ana mtoto wa kike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huyu dada kwa kunipa vitu namkubali,,hapo amenigawia na tugauni tuzuri twa kibinti..
Yaani sijawahi kwenda kwake nikatoka mikono mitupu.
Mimi namshukuru Mungu ke tupo wengi,ila nimebahatika kaka wawili tu ambao ndio nimefuatana nao.

Uzao wetu umekuwa vise versa,dada zangu wote wanazaa watoto wa kiume tu,na kaka yangu ana mtoto wa kike.

Sent using Jamii Forums mobile app

Watu wana roho nzuri sana , hurudi mtupu kabisa .
Hawana hata wakike jamani , Mungu ni mwema though warembo watakuja tu kwa muda wake.
 
Back
Top Bottom