Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyepesi sana, halafu zinapauka kichizi, kuna mdogo wangu aliniletea Cadeth toka UG zipo good sana, nzito halafu hazipauki... lakini ndio hivyo tunaishi nazo kibingwa..
sizipend hizo zinalia kwachu kwachu, kna mtu nliwah muambia awapelekee ng'ombe skutak hata kuziona,
Zina shida wakat wa kufuaa, nahis fake hizo.
 
Wanasemaga ujenzi wa masikini hauishi, ngoja tujinyime kula beer, naona finishing inanitoa roho..

View attachment 2008371
Wee beer kitu gan bhanaah, weka makazi yako safi familia yako wajivunie uwepo wako, mbna kazi ishaisha hapo, hata uktak kuweka ubavu humo mbna fresh tyuuh, mtu chake bhana.
 
Na zimechambuka vizurii
, aki tungekaa nyumba moja kila siku ningekubembeleza unipikie
napenda sana chapati.

Nitazijaribu week ijayo labda, nimepata kitu kipya hapo
Na mimi nipo tayari hata kupika chapati Mia.

Kila mtu aseme tu idadi anayokula.

Tukiwaga tumejikusanya home wote,nilikuwa napika hata chapati 50.


Ajabu chapati ya maji inanipiga chenga hadi leo,na nishaachana na habari za chapati za maji
 
Na mimi nipo tayari hata kupika chapati Mia.

Kila mtu aseme tu idadi anayokula.

Tukiwaga tumejikusanya home wote,nilikuwa napika hata chapati 50.


Ajabu chapati ya maji inanipiga chenga hadi leo,na nishaachana na habari za chapati za maji
Hahaa kwel tunatofautiana daah, chapati ya maji ilivyo simple vile😅
Hiyo niamshe hata usiku wa manane nakupikia vizuri, sema ile ukitaka itoke vzuri bas utumie non stick pan, hizi nyingine hua naona hazitoi chapat nzuri + mchanganyiko ukiwa size ya kawaida sio mzito wala mwepesi sana
 
Hizo nilishajaribu,nikatoa shepu undefined,
Sitaki tena ule mchezo wa kupika chapati za kumwagia kwenye pan
 
Kitendo cha kuimwagia na kuisambaza ikae vizuri ni mtihani mno.

Nikaona siyo fungu langu kabisa hizo chapati .
Na hii nayo ni rahisi tu ,unaweza kusambaza na kijiko unachomwagia au pan yenyewe kwa kushika mkono wake na kujizungusha kutengeneza duara.

Siyo ngumu jaribu tena utaweza- ili iwe simple tumia mayai mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…