cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,961 Lenie said: Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko Click to expand...
Lenie said: Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko Click to expand...
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Nov 12, 2021 #115,962 Saint Anne said: Usicomplicate sana. Ukipika ziweke pamoja kwenye pot, Zinakuwa laini mno. Usiache zikapigwa na baridi,ukiepua. Click to expand... Ni mateso basi tu😂 Nitajaribu hiyo tip nione kama itawork kwangu, nitakupa mrejesho ukiona kimya bas ujue bila bila😅
Saint Anne said: Usicomplicate sana. Ukipika ziweke pamoja kwenye pot, Zinakuwa laini mno. Usiache zikapigwa na baridi,ukiepua. Click to expand... Ni mateso basi tu😂 Nitajaribu hiyo tip nione kama itawork kwangu, nitakupa mrejesho ukiona kimya bas ujue bila bila😅
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,963 and 100 others said: Site. View attachment 2008348 Click to expand... Cadate hiz cjui tukoje, yaan km karatas
and 100 others said: Site. View attachment 2008348 Click to expand... Cadate hiz cjui tukoje, yaan km karatas
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,964 Saint Anne said: Mbezi kwa mzee baba Magufuli Click to expand... Stand, ulkua unaenda wapi?
Omerta JF-Expert Member Joined Jan 3, 2016 Posts 6,156 Reaction score 7,807 Nov 12, 2021 #115,965 Lenie said: Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau😂 Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko Click to expand... I can teach you,ukitaka
Lenie said: Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau😂 Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko Click to expand... I can teach you,ukitaka
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 12, 2021 #115,966 Lenie said: Ni mateso basi tu Nitajaribu hiyo tip nione kama itawork kwangu, nitakupa mrejesho ukiona kimya bas ujue bila bila Click to expand... Jaribu. Jaribu pia ,ukishakanda funika kwa muda ili unga ujishike vizuri. Mimi hizi nilikanda saa12 jioni,nikaendelea na mambo yangu,nimekuja kupika saa4.
Lenie said: Ni mateso basi tu Nitajaribu hiyo tip nione kama itawork kwangu, nitakupa mrejesho ukiona kimya bas ujue bila bila Click to expand... Jaribu. Jaribu pia ,ukishakanda funika kwa muda ili unga ujishike vizuri. Mimi hizi nilikanda saa12 jioni,nikaendelea na mambo yangu,nimekuja kupika saa4.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,967 Saint Anne said: ...View attachment 2008364 Click to expand... Chapati nimezielewa,
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Nov 12, 2021 #115,968 Omerta said: I can teach you,ukitaka Click to expand... Ooh thank you Omerta , sasa darasa tunaanza lini nijiandae
Omerta said: I can teach you,ukitaka Click to expand... Ooh thank you Omerta , sasa darasa tunaanza lini nijiandae
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,969 and 100 others said: Site... kibanda.. View attachment 2008366 Click to expand... Hongera sana, bati umejua kuchagua, n nzuri rangi inavutia.
and 100 others said: Site... kibanda.. View attachment 2008366 Click to expand... Hongera sana, bati umejua kuchagua, n nzuri rangi inavutia.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,970 Lenie said: Unancheka eeh Click to expand... Wee chapat mbna kupika n simple xan,
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Nov 12, 2021 #115,971 Saint Anne said: ...View attachment 2008364 Click to expand... Kuku ungemfanya awe kange ingekuwa
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Nov 12, 2021 #115,972 Saint Anne said: ...View attachment 2008364 Click to expand... Zinaonekana lainii na tamuu😍
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Nov 12, 2021 #115,973 Darmian said: Wewe ulikuwa unajua inaitwa kichumi? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hapana.
Darmian said: Wewe ulikuwa unajua inaitwa kichumi? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hapana.
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Nov 12, 2021 #115,974 cocastic said: Wee chapat mbna kupika n simple xan, Click to expand... Recipe pls. Sio utupigie tu kelele hapa kumbe unajua kuchemsha tu maji ya kuoga.
cocastic said: Wee chapat mbna kupika n simple xan, Click to expand... Recipe pls. Sio utupigie tu kelele hapa kumbe unajua kuchemsha tu maji ya kuoga.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,975 Saint Anne said: Nyumbani. Nauzaga karanga hapo mbezi. Click to expand... una nn Leo wee?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 12, 2021 #115,976 Habun said: Kuku ungemfanya awe kange ingekuwa Click to expand... Nitajaribu next time. Japo kuku wa mchuzi mchuzi huwa sipendi sana
Habun said: Kuku ungemfanya awe kange ingekuwa Click to expand... Nitajaribu next time. Japo kuku wa mchuzi mchuzi huwa sipendi sana
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,977 Depal said: Nikuone Click to expand... Wii umetuma pcha ya gaun kimini umefuta xjaona, au wee hutak kuolewaa ungonini? Tunajua mapenzi sie hatareeeh, oooh wee haya tyuuh. Utakosa fursa ivo ivo.
Depal said: Nikuone Click to expand... Wii umetuma pcha ya gaun kimini umefuta xjaona, au wee hutak kuolewaa ungonini? Tunajua mapenzi sie hatareeeh, oooh wee haya tyuuh. Utakosa fursa ivo ivo.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 12, 2021 #115,978 Lenie said: Zinaonekana lainii na tamuu Click to expand... Za kawaida. Mimi si mtaalamu ,najaribu tu.
Lenie said: Zinaonekana lainii na tamuu Click to expand... Za kawaida. Mimi si mtaalamu ,najaribu tu.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Nov 12, 2021 #115,979 Saint Anne said: Nitajaribu next time. Japo kuku wa mchuzi mchuzi huwa sipendi sana Click to expand... Usiweke mchuzi.
Saint Anne said: Nitajaribu next time. Japo kuku wa mchuzi mchuzi huwa sipendi sana Click to expand... Usiweke mchuzi.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 12, 2021 #115,980 Depal said: Recipe pls. Sio utupigie tu kelele hapa kumbe unajua kuchemsha tu maji ya kuoga. Click to expand... jaman my wii umenidaka juu juu, recipe nshahau, housemaid wangu ndo kaz yake hyo. Lol
Depal said: Recipe pls. Sio utupigie tu kelele hapa kumbe unajua kuchemsha tu maji ya kuoga. Click to expand... jaman my wii umenidaka juu juu, recipe nshahau, housemaid wangu ndo kaz yake hyo. Lol