Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna jamaa (a friend from Egypt) yupo hapahapa nchini ananiambia kwao ni kwa moto, Serikali inakusanya kodi ni balaa.
Anasema kwa Sasa kila mfanyabiashara anaangalia uwezekano wa kukimbia. Tatizo hajapata biashara nzuri ya kufanya hapa bongo. Alikuja na bio fertilizer zikamkata.
 
Hatari ndugu.

Lakini Egypt imeendelea huwezi kufananisha na nchi zetu hizi. Moja ya sababu ni kulipa kodi tu.

Sisi wabongo tukiongozwa na wapinzani wanaopingapinga kila kitu ni matatizo sana.

Nkitulia ntaweka baadhi ya risiti hapa. Kodi ni 27%
 
Hatari ndugu.

Lakini Egypt imeendelea huwezi kufananisha na nchi zetu hizi. Moja ya sababu ni kulipa kodi tu.

Sisi wabongo tukiongozwa na wapinzani wanaopingapinga kila kitu ni matatizo sana.

Nkitulia ntaweka baadhi ya risiti hapa. Kodi ni 27%
Huku kwetu wanataka eti watu wabembelezwe kulipa kodi.



Mikumi tena kwa mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…