Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante baba.
Kumbe kifuani si haba pia baba


Nasubiri sura baba,
Unamnyima mama mtumishi kweli?
Nimecheka kwa nguvu mtumishi mwenzangu 🤣🤣🤣

Kama ilivyokwisha kuandikwa, basi sitakunyima mama mtumishi.

Unadhani sura imebadilika kuliko ile niliweka siku ile?
 
nmecheka San my wiii,
 
Ile uliificha sana baba.
Leo iweke wazi mama mtumishi afurahi.

Kweli wewe ni wa kunificha vile picha yako baba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nta blow cover mama mtumishi.

Wacha nijizoeze kutoku comment tena kule jukwaa la siasa.

Halafu sasa ntarudi hapa kuweka kila kitu, hadi original name ya Pep ambayo pengine unafahamu tayari kwamba ni Josep
 
Nta blow cover mama mtumishi.

Wacha nijizoeze kutoku comment tena kule jukwaa la siasa.

Halafu sasa ntarudi hapa kuweka kila kitu, hadi original name ya Pep ambacho pengine unafahamu tayari kwamba ni Josep
Wacha baba
Kumbe wewe ni Joseph!?
Sikujua hili!
Nilijiuliza sana maswali kuhusu hili jina lako.


Hebu fanya hima baba uweke japo kipande cha sura hapa.
Nikija PM nitakuomba nyingi sana baba,
Tafadhali baba sikia ombi langu usiku huu,
Sema neno moja,likifuatiwa na picha chini,mama mtumishi apate kubarikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…