Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante baba.
Kumbe kifuani si haba pia baba[emoji847]

Nasubiri sura baba,
Unamnyima mama mtumishi kweli?
Nimecheka kwa nguvu mtumishi mwenzangu 🤣🤣🤣

Kama ilivyokwisha kuandikwa, basi sitakunyima mama mtumishi.

Unadhani sura imebadilika kuliko ile niliweka siku ile?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka San my wiii,
 
Nimecheka kwa nguvu mtumishi mwenzangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama ilivyokwisha kuandikwa, basi sitakunyima mama mtumishi.

Unadhani sura imebadilika kuliko ile niliweka siku ile?
Ile uliificha sana baba.
Leo iweke wazi mama mtumishi afurahi.

Kweli wewe ni wa kunificha vile picha yako baba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa hapa wazalendo wenzako! Wamepigwa doso la maana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2007259
🤣🤣🤣 alooooh.
Wamujibu doso halikoleagi nazi asee.

Wale wenyewe bana 🤣🤣 mnakula doso mpaka Me na Ke wote wanafanana.

Sasa hapo naona warembo kibao.

Nimekuangaza sijakuona...
 
Ile uliificha sana baba.
Leo iweke wazi mama mtumishi afurahi.

Kweli wewe ni wa kunificha vile picha yako baba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nta blow cover mama mtumishi.

Wacha nijizoeze kutoku comment tena kule jukwaa la siasa.

Halafu sasa ntarudi hapa kuweka kila kitu, hadi original name ya Pep ambayo pengine unafahamu tayari kwamba ni Josep
 
Nta blow cover mama mtumishi.

Wacha nijizoeze kutoku comment tena kule jukwaa la siasa.

Halafu sasa ntarudi hapa kuweka kila kitu, hadi original name ya Pep ambacho pengine unafahamu tayari kwamba ni Josep
Wacha baba[emoji847]Kumbe wewe ni Joseph!?
Sikujua hili!
Nilijiuliza sana maswali kuhusu hili jina lako.


Hebu fanya hima baba uweke japo kipande cha sura hapa.
Nikija PM nitakuomba nyingi sana baba,
Tafadhali baba sikia ombi langu usiku huu,
Sema neno moja,likifuatiwa na picha chini,mama mtumishi apate kubarikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…