donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Tbt, with the boys
Umeruka na kukaa hewani kweli au unatania?Tbt, with the boys View attachment 2006013
Plan zangu ilikuwa ni kuishi Mwanza,kwa kweli, wengne tumekimbia kulima.
Ila cc fanya mpango uende mwanza, jaman pazuri kule sehem, mie nlkua mwanza field miez 2,yaan nmekula samaki wa kila aina,nmezurura ziwa victoria,nlipiga maphoto kibao, lahaulaah cm enyew ikaibwa,
Yaan ngekua natupia mapicha humu kila mda,daaah
Ila,mwanza pazur mno, field ijayo natak niende Mbeya nkajionee maisha rahs. Na utanipokeaa wee cc.

47 amezaliwa mjomba wangu..Umesahau kuwa enzi zile tunapigania Uhuru wa Nchi Mimi nilikuwa Katibu wao
Mimi wa '47![]()
Ni kweli mkuu, ni mafunzo tu. Used to be so flexible before I gained weight. #retiredmartialartist
Yaani ni kweli umeruka angani?Ni kweli mkuu, ni mafunzo tu. Used to be so flexible before I gained weight. #retiredmartialartist
Amini kwamba mkuu!
Unapokua ni mtaalam wa kupiga msamba, inakua easy tu mkuu
Asante nashukuruAmini kwamba mkuu!




, it's all about training. You can't imagine what the human body can do or endureNashukuru komandoUnapokua ni mtaalam wa kupiga msamba, inakua easy tu mkuu




Asantee, it's all about training. You can't imagine what the human body can do or endure




Nitashukuru kwa kweli, nimekaa mkao wa kuona. Hapa nimevaa miwani yangu ya kusomea ili nione vizuri hiyo picha 🏃Haya ngoja nimtaarifu .
Umeona tulivyokula chumvi nyingi Mimi na uncle wako eeh 😂
Nitashukuru kwa kweli, nimekaa mkao wa kuona. Hapa nimevaa miwani yangu ya kusomea ili nione vizuri hiyo picha![]()


Piga tizi mjomba acha kulegea!Ni kweli mkuu, ni mafunzo tu. Used to be so flexible before I gained weight. #retiredmartialartist