Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo kuna historia ya maisha! Tafiti vingi hasa maendeleo yamefikaje, tufahamu namna ya kusaidia Tanzania.
Nikisema hapa wakulungwa watanishambulia.

La kwanza kabisa, jamaa wanalipa kodi na serikali imekuwa kali sana kwenye kodi. Marufuku kwa Egyptian kutumia foreign currency, Sisi huko tunaona sifa ukiwa na vijidola vyako.

Magufuli alipozipiga pini bureau de change kelele uliziskia bro. Kiufupi Tanzania ina fursa nyingi sana za kutoboa kabla serikali haijagangamala.
 
This bitch got me payin' her rent, payin' for trips
Diamonds on her neck, diamonds on her wrist
And here I am all alone (All alone)
I'm so cold, I'm so cold
You got me out here

Smokin' out the window (Smokin' out the window)
Singin' "How could she do this to me?"
(How could she do this to me?)
I thought that girl belonged to only me
But I was wrong
'Cause she belong to everybody, everybody


Nadhan they are the best group for this year

Dedication kwa my ex kama yumo humu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikimaliza tour andaa thread nyepesi tu tupate kujifunza mengi na kujadili yaliyomuhimu kwa mustakabal wa taifa na watu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…