Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,621
- 69,357
Una mambo wewe!!!😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣 nilipoliona nikakukumbuka.
Una mambo wewe!!!😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣 nilipoliona nikakukumbuka.
Nilifanikiwa.Ndio inavyotakiwa. Kuna muda unahisi kama una njaa lakini sio. Kama umekula masaa machache yaliyopita jitahiji kunywa maji kidogo usikilizie.
Vipi umwfanikiwa kutoboa au ulikula tena?![]()
Ndiyo mkuu,ulikuwa mtamu.Huu msosi simple lakini utakuwa ni mtamu sana...
Ila siachi kunyoa

Siunaona sasa. Hapo ungekimbilia kiporo ungeongeza kitambi 😜😜
Siunaona sasa. Hapo ungekimbilia kiporo ungeongeza kitambi![]()


Nimekumbuka mbali sana izi alakati utoto na raha yake



Watoto wa kishua hawawezi elewa haya.Nimekumbuka mbali sana izi alakati utoto na raha yake![]()

Kuna kale kaalufu flani ivi ka asiriWatoto wa kishua hawawezi elewa haya.
Tuliokulia vijijini tumechoma sana viazi namna hiyo.
Halafu vilikuwa vinakuwa vitamu
Sent using Jamii Forums mobile app



moment nyingi sana za utoto zilikuwa nzuri sana saizi azipo ata kwa dawaYaani ilikuwa raha sana.Kuna kale kaalufu flani ivi ka asirimoment nyingi sana za utoto zilikuwa nzuri sana saizi azipo ata kwa dawa