Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20211102-WA0000.jpg
 
Ndio inavyotakiwa. Kuna muda unahisi kama una njaa lakini sio. Kama umekula masaa machache yaliyopita jitahiji kunywa maji kidogo usikilizie.

Vipi umwfanikiwa kutoboa au ulikula tena? [emoji12]
Nilifanikiwa.

Baada ya kunywa maji nilikaa kidogo;nikalala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa kishua hawawezi elewa haya.

Tuliokulia vijijini tumechoma sana viazi namna hiyo.
Halafu vilikuwa vinakuwa vitamu [emoji91]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kale kaalufu flani ivi ka asiri [emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526] moment nyingi sana za utoto zilikuwa nzuri sana saizi azipo ata kwa dawa
 
Back
Top Bottom