Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,619
Kwamba ana minyoo![]()

Kwamba ana minyoo![]()

🤣🤣🤣🤣🤣 nilipoliona nikakukumbuka.Zao
Zao lenye maajabu yake Yani😋😋😋
Ah😮 nani tena huyo mtu jmn mie huyo niliefanana nae!Kuna mtu umefanana nae? 🤔
Ah! Mie sisemi sana ila ukiwauliza wenzio waliobahatika kukutana na sie tunaokula kimti pombe tu pasi na mitungi watakupa habari,,, yani tuko very romantic! We jaribu siku moja utakuja kunishukuru hapa jukwaani!😄Wanasemaga wanaume wanaotumia mmea some of 'em lakini, wako romantic sana. .. Unalizungumziaje?
Kwani mi nimesema niko wapiHuku,ulipo
DarKwani mi nimesema niko wapi
Nilishajaribu hapo zamani za kale...Ah! Mie sisemi sana ila ukiwauliza wenzio waliobahatika kukutana na sie tunaokula kimti pombe tu pasi na mitungi watakupa habari,,, yani tuko very romantic! We jaribu siku moja utakuja kunishukuru hapa jukwaani!😄
Hebu punguza kuchora chora uso afu nitakwambia kama sie au ndiyeAh😮 nani tena huyo mtu jmn mie huyo niliefanana nae!
Oh,, sawa ukhty dar ni kweli kina nyonzo wako wengi
Oh,, sawa ukhty dar ni kweli kina nyonzo wako wengi
Mh! Kwa matusi na mikwara tuliopigana na wadau humu jf usipojichora usoni siku unaweza ukajikuta upo central umefunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumiHebu punguza kuchora chora uso afu nitakwambia kama sie au ndiye
Uliuonaje mziki wake,,,Nilishajaribu hapo zamani za kale...
Tafuna mapema kabla hujanywa kifungua na kifungulia kinywa.Ngoja nizinywe na maji au nizitafune tu
Kwamba ana minyoo![]()


acha utani kwenye Afya.

AhsanteTafuna mapema kabla hujanywa kifungua na kifungulia kinywa.

Mmh mzazi.....
Huu msosi simple lakini utakuwa ni mtamu sana...Sawa Fransisco
Leo najaribu kula saa1
Ngoja nione kama nitawezaView attachment 1994921
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kula albendazole ni kunenepa?acha utani kwenye Afya.
Wewe kwani hutaki vya kunenepa![]()
Amka utafune dawa 😂Ahsante![]()
Ndio inavyotakiwa. Kuna muda unahisi kama una njaa lakini sio. Kama umekula masaa machache yaliyopita jitahiji kunywa maji kidogo usikilizie.