Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,838
- 57,475
Bado najiuliza kwanini Kuku wa hapa Dom ni watamu kuliko wa kule kwetu 😋😋🙌
Bado najiuliza kwanini Kuku wa hapa Dom ni watamu kuliko wa kule kwetu 😋😋🙌
Yaani kwamba hujawahi kuusikia?
Wanajua kuchomaBado najiuliza kwanini Kuku wa hapa Dom ni watamu kuliko wa kule kwetu![]()
Itakuwa upo kwenye ulimwengu wa kipekee sana
Nipo duniani hapahapa mkuu.Itakuwa upo kwenye ulimwengu wa kipekee sana
Mhala sana okono nkoi...nimho mbula yalemile ogotolaMhola dúhú nkoyï, ginehe ukwene!

Nipo duniani hapahapa mkuu.
Sasa Sijui ndio ushamba ama uzembe tu!
Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona ulikimbia mapemaSiku ile nilikuwa mzima mbona
Beer tamu jamani

Daah nilikukumbuka nikasema nitakucheki sema nilikua tight sana!Ila si tulikubaliana utanipa lift?![]()



Daah nilikukumbuka nikasema nitakucheki sema nilikua tight sana!
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
