Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aah wapi

If it was me najua ana ratiba ya kuja namtumia kabisa WhatsApp na caption babe karibu breakfast ili ajiandae kisaikolojia
Try this one mkuu....wine ya uyoga..u will thank me later
20211031_142603.jpg


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Try this one mkuu....wine ya uyoga..u will thank me laterView attachment 1993360

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
😮
Aisee ni uyoga kabisa?
Watu mna mapigo🤣

Kuna jamaa humu anaitwa mbalizi1 aliniambia kazi ya hio asali inaitwa UPULA..
Nilikuwa nayo ndani kama lita 5 lakini sikujua matumizi yake..
Nimeinywa siku ya 5 leo, aisee network ile asubuhi naamka inasoma 4G LTE ikifika mida ya mchana ngoma inasoma mpaka 5G network bar zipo full🤣🤣

Yaani mkuu unaweza kupigia na push up kabisa, ngoma imekakamaa haitaki maelezo halafu inakuwa kama ina twitch hivi..🤣🤣🤣

Nimeamua niachane nayo aisee, haya ni mateso sasa..
 

Aisee ni uyoga kabisa?
Watu mna mapigo

Kuna jamaa humu anaitwa mbalizi1 aliniambia kazi ya hio asali inaitwa UPULA..
Nilikuwa nayo ndani kama lita 5 lakini sikujua matumizi yake..
Nimeinywa siku ya 5 leo, aisee network ile asubuhi naamka inasoma 4G LTE ikifika mida ya mchana ngoma inasoma mpaka 5G network bar zipo full

Yaani mkuu unaweza kupigia na push up kabisa, ngoma imekakamaa haitaki maelezo halafu inakuwa kama ina twitch hivi..

Nimeamua niachane nayo aisee, haya ni mateso sasa..
Uyoga mkuu ni balaa. Aisee hiyo kitu inabidi niitest

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom