Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,918
- 136,643
IrudiweKitu kizima nilishawahi wekaila ilikuwa ni shwaaaa puu kimefutwa. Aliona tu rubani nahisi
,Rubani Siku hizi hana mwendo

IrudiweKitu kizima nilishawahi wekaila ilikuwa ni shwaaaa puu kimefutwa. Aliona tu rubani nahisi
,
Ntakukoma mwaka huu, nimebaki mwenyewe wa kunukia vigunia vya mpunga
Nje ya mada:
Niliongeza na black opium..naona ndio the best,ikifuatiwa na poison Dior.
Sent using Jamii Forums mobile app



Shujaa ni yule anayefia katika mapambano.
I lost my very close friendView attachment 1992344
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakukoma mwaka huu, nimebaki mwenyewe wa kunukia vigunia vya mpunga![]()







Asante.Pole sana…
Shujaa ni yule anayefia katika mapambano.
I 've lost my very close friendView attachment 1992344
Sent using Jamii Forums mobile app

Pole sana AnneShujaa ni yule anayefia katika mapambano.
I 've lost my very close friendView attachment 1992344
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.Aisee polen sana
Jana nimekula mzinga nikaona kifo ni kitu tunatembea nacho very close
Ajali![]()
.Pole sana. Maisha haya we acha tu. Ingekuwa mtu unaomba ufeje ungeweza kuomba uondoke zako ukiwa usingizini au ulambwe risasi ya kichwa tu paap! Ukienda huko Ocean Road Hospital ukaona kansa inavyotesa watu ndo utajua kuwa binadamu sisi si kitu yaani. Mungu na Atusaidie kwa kweli siku yetu ikifika (kila mmoja kwa ratiba yake) tuondoke kwa wema na amani.Pole sana.
Yaani huyu ajali+kuungua hadi kufariki ndani ya hilo gari..I can't even imagine.
MUNGU ni mwema,upo salama.
Kifo tunatembea nacho,,cha muhimu kujiweka tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna anayejua kilichoendelea maana alikuwa pekeyake ndani ya gari,tena msituni.Pole sana. Maisha haya we acha tu. Ingekuwa mtu unaomba ufeje ungeweza kuomba uondoke zako ukiwa usingizini au ulambwe risasi ya kichwa tu paap! Ukienda huko Ocean Road Hospital ukaona kansa inavyotesa watu ndo utajua kuwa binadamu sisi si kitu yaani. Mungu na Atusaidie kwa kweli siku yetu ikifika (kila mmoja kwa ratiba yake) tuondoke kwa wema na amani.
Labda rafiki yako hakuwa na fahamu baada ya ajali na maumivu ya moto hakuyasikia. Apumzike salama![]()
, Alikuwa Smart sana kichwani huyu dogo.
Nje ya mada:
Niliongeza na black opium..naona ndio the best,ikifuatiwa na poison Dior.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati iliyoje hii, naomba mwanasheria atuandikie Mkataba wa kutuunganisha please.
Utaweza kuwa begi langu kwa miaka mingapi? Sitaki kupoteza hii bahati![]()




Shujaa ni yule anayefia katika mapambano.
I 've lost my very close friendView attachment 1992344
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni tamu sanaNkamu uliipenda Black Opium? daah ngoja niirudie niichukue labda nichukue hiyo ya kupima maana siipendi ila naona wengi mmeipenda.
Kama nakuona unavyonukia


.