Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Ndiyoo.. si tumenyoa jamani..Kwamba huyu wa sasa ndiyo yule yule uliyetoka kumtoa![]()

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyoo.. si tumenyoa jamani..Kwamba huyu wa sasa ndiyo yule yule uliyetoka kumtoa![]()

Aisee yaani ulivyosema ndiyo ikabidi nimzoom nianze kumuangalia huku nikivuta kumbukumbu ya yule mwingine. Nimeanza kuona wanafanana kwa mbali sema alivyonyoa ni kama amekuwa kabinti wakati ile nyingine alikuwa kama mmama hivi.
Aisee yaani ulivyosema ndiyo ikabidi nimzoom nianze kumuangalia huku nikivuta kumbukumbu ya yule mwingine. Nimeanza kuona wanafanana kwa mbali sema alivyonyoa ni kama amekuwa kabinti wakati ile nyingine alikuwa kama mmama hivi.







Mimi naona hii ya sasa ndio amekaa kimama ila ile nyingine amekaa kibintiAisee yaani ulivyosema ndiyo ikabidi nimzoom nianze kumuangalia huku nikivuta kumbukumbu ya yule mwingine. Nimeanza kuona wanafanana kwa mbali sema alivyonyoa ni kama amekuwa kabinti wakati ile nyingine alikuwa kama mmama hivi.
Sikubishii Mdogo wangu..


Sikubishii Mdogo wangu..
Naweza kukataa.. halafu ukazileta hapa zote
Sent using Jamii Forums mobile app





Nywele fupi.....hapa nazidi kukuelewa shem
Nitakuonesha mtu mwenyewe..
Halafu si unajua nywele fupi vile zinampa mtu muonekano wa tofauti Mdogo wangu..
Sent using Jamii Forums mobile app


Bado slave trade ipo ? Watu wananinginia kwenye canter
Kuning'inia kwenye Kenta za Mwakaleli atafika shati lake lote limechafuka.
Sent using Jamii Forums mobile app


Unajua Bibi yako ni Mkulima, hivi watakubali kumsafisha kucha zake zenye udongo wa Shamba?
Na anavyopenda urembo lazima atafurahi, ngoja nimlete![]()
mbona utamfurahia ukimuona. We mlete, hakunaga mkate mgumu mbele ya chai.....Mimi kufuga ni mtihani kwa kweli, bora kubandika tu. Natural zikiwa ndefu kbs, wanazitengeneza vzr tu.Hivi hata hizi natural wanaweza ziweka hivyo?
Za kubandika nimeshindwa![]()
Habari za siku sister
Vizuri sana kama ni nzuri dada mpendwa