Tuachane na haya mama! Naona watu washaanza kuchukulia hii issue personal wakati ni sisi tumeamua tu kuendeleza huu mjadala kivyetu kutokana na uhalisia tunaouona kwenye jamii!
Yaani hadi nikahisi mtu kakosea kuniquote,maana tangu mmeanza mjadala wala sikuconcentrate kwenye comments zake,,nikawa najichatia na shoga yangu Karma maana hizi mada huwa tunajuana,,,duh nashangaa sijui kumiliki magari,sijui majumba,sijui kutemea mate watu yaani nimeamka asubuhi kufungua jf nikahisi nina wenge la usingizi.π
πππππππ