Well said .[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]utachonga viazi.
Sio Lizzy tu hata kama ningekuwa ni mimi trust me nisingelimtaja wala kuwa na mategemeo ya kumtaja
Listen mtakatifu wangu kuna mambo lazima yabaki kuwa sirini.kuna watu humu ndan wapo ..tena wapo sanaaaa lakini hawataki kujulikana Kabisa na ukifanya kitu cha kuwafanya wajulikane Hapo hapo unawapoteza.so inabidi tujifunze kuwa na breki ya maneno..tujifunze kuto kuropoka itatusaidia pia kukutana na watu wa maana wakatupatia koneksheni za maisha
ππππHuh! Mimi sihitaji kuwa convice bana. As long as nilisha ku convince wewe sijali kuhusu wao.
Mimi ngoja nimtaje wa kwangu; kama anakujaga PM kwenu kuwadangia mniambie. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli umemenena vizuri .
Hata ningekuwa mimi nisingeweza kutaja.
Mambo ya kumtangaza mtangaza mtu baadaye kitumbua hutiwa mchanga[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yani hili suala la kukosa misambwanda acha tu
Nkamu kuwa na pesa siyo hadi umfikie Oprah Winfrey [emoji23][emoji23]
Ndio nini sasa!? Say something!ππππ
Mimi ngoja nimtaje wa kwangu; kama anakujaga PM kwenu kuwadangia mniambie. [emoji38][emoji38][emoji38]
Should I really...?ππNdio nini sasa!? Say something!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata hizo kidogo sina nkamu, mbona ni matumizi mabaya ya ndevu sasa. Nitavinyoa tu baadaye, kuliko niwe naviona vinanipa matumaini kumbe kushney
Yes. Quench my soul.Should I really...?ππ
[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
Tag me please [emoji846]
Wapo wengi humu mkuuUlimuona nani na nani mkuu?
Champion
Maonyesho si mazuri kabisa.π€£π€£π€£π€£π€£ Nilipitwa na hii πππππ
Chakorii umenikumbusha this girl tulifanyaga kazi flani hivi pamoja. Sasa boss wetu alikuwa boss kweli (awfully good looking, very well established, fashionable kinoma) ila mshkaji sana. Yani hana mbwembwe kabisa....sasa sijui this girl sijui alikuwa amezingua nini so boss akamuuliza au umemmiss sana babe wako mpaka kazi inakataa?? And she outright said "MI SINA BOYFRIEND!!!"
Baadae tukamuuliza duuude...mbona unasema uko single and you are not. Akatuchana eti kuna watu hata kama iweje hutakiwi kujidai eti ushachukuliwa. Akajazia we ukikutana na Diamond saa hizi unamuambia una mtu???
I was just like ππππ