Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
MhhhNalia kwa kicheko. π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ man utd mmezibwa vibaya.
Nileteeni Henyi Magwaya na mwenzake Rona.
Sasa Rona kwanini alimpiga mwenzake teke? Mwambieni mchezo hautaki hasira.
Wajukuu wa Sosha π€£π€£ amkeniiiii
Pole tu jamaniMhhh
EbhΓ chene nkoyiGashinaga Ε«talΔ« gayanda gadololo gΔ«kΔ«? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Εͺnene nalΔ«nkΕ«lΕ«yo ntale noi...
Seba AgΕ«lang'hane nkoyi [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Jana ilikuwa siku mbaya sana,ndio mpira huo,tunakubariana na matokeo
Tulia dogo muda wa kazi huu timu yetu mtuachieHivi Manchester jana mlikuwa mnafanya nini uwanjani??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1986311
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtuache tupumueHivi Manchester jana mlikuwa mnafanya nini uwanjani??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1986311
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiache kutoa mwalikoLeo nakunywa bia tano,,ishara ya magoli tuliyowanyuka watu huko.
Nitaongezea na kvant1 husherehekea makolo fc kupigwa.
Sijajua chanzo cha moto ila niliona video na picha zinasambazwa Ile usiku
Leo ndio nacheki mechi,,,aiseeee
Karibu mkuu tukalewe tushangilie ushindi wa the reds,,,,ai will neva woki aloniπUsiache kutoa mwaliko
HeheheheTulia dogo muda wa kazi huu timu yetu mtuachie
Kweli mbuzi wa masikini hazai,
Usilie sana sasa π€£π€£π€£Jana ilikuwa siku mbaya sana,ndio mpira huo,tunakubariana na matokeo
Basi sawa mzee mwenzangu ngoja niendelee kupambania kuingia kikosi cha kwanza maana vijana waliopata nafasi wana sifa kweli. Magoli mengi kuliko idadi ya mechiHaha bado upo vizuri bro,benchi halijakuathiri chochote kile