Selfika na JF: Snap it. Show it

Mhhh
 
[emoji3590] SOMA NENO LA MUNGU[emoji3590]

[emoji433] Mhubiri 2 : 24 -26

[emoji2771]24 Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu .

[emoji2771]26 Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha ; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.

[emoji3585] Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni,Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.

[emoji3585] Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai kusikia.

[emoji3585] Kumbuka_*Tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.*_

[emoji120][emoji3590] Mbingu Ipo[emoji3590][emoji120]
 
Ahsante [emoji22]

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Kweli mbuzi wa masikini hazai,
kumbe huyo Cr 7 wenu alijaribu kufunga ila ikawa offsideπŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Laana ya kumpiga mateke Salah inamtafuna,,ataambia nini watu,,yupo uwanjani na tumewachakaza mabao yote yale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…