24 Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu .
26 Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha ; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.
Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni,Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.
Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai kusikia.
Kumbuka_*Tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.*_
Kweli mbuzi wa masikini hazai,
kumbe huyo Cr 7 wenu alijaribu kufunga ila ikawa offside😂
😂😂😂😂😂😂
Laana ya kumpiga mateke Salah inamtafuna,,ataambia nini watu,,yupo uwanjani na tumewachakaza mabao yote yale.
Basi sawa mzee mwenzangu ngoja niendelee kupambania kuingia kikosi cha kwanza maana vijana waliopata nafasi wana sifa kweli. Magoli mengi kuliko idadi ya mechi