Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani..nilivyouliza harakaharaka kama bado umebanwa sio kujali????πŸ™„πŸ™„
if you care, you have to protect me and make sure am happy, put s'one b4 yourself..
kumbuka nilikupa bodyguard aku protect, nikakupa na chopper bure uwe happy, mie ndie nilionesha caring..
 
Hello Chakorii nipo aisee, kupambana tuu...mishe vipi?sending you lots of love
Hello The Wolf..Nafurahi kama upo mzima na salama 😚..ni vyema sana kupambana..mishe ziko poa kabisa Mungu ni mwema katika hili😊😊
πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°

Usipotee sana bhana Sawa baba eeee😊😊
 
Asante binti yangu. Utanikuta Lamadi kesho. Utakuta sato na sangara wa kutosha pamoja na nyama ya mbuzi. Safiri salama
Ohooo huu ni upendo mzito mno😊😊sato,Sangara na mbuzi☺️Jamani mbona siku zitakuwa chache..😌
Asante Daddy.
Ohooo Da..................ddy😊😊😊
 
Acha bana..wacha wapigane..mi manutd

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Nalia kwa kicheko. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 man utd mmezibwa vibaya.

Nileteeni Henyi Magwaya na mwenzake Rona.

Sasa Rona kwanini alimpiga mwenzake teke? Mwambieni mchezo hautaki hasira.

Wajukuu wa Sosha 🀣🀣 amkeniiiii
 
Wakatupiga na ngumi lakini wapi


Wakatupiga na mateke lakini wapi

Tukawachakaza.


Halafu nakumbusha tu,Jack ni Man UTD afu ni simba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…