Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa nimeanza kupandisha flower-less pic taratibu mpaka nilivyosoma #4 🙄🙄🙄

Badala ya kuniwekea some super proxy firewall inayo-crypt my activities unataka kuwarahisishia wadukuzi kazi??? Imagine the person in charge akidanganyika 🙄🙄

Anabonyeza SEND tu kesi inaisha 😱

Ila everything else is on point 🤝🏾🤝🏾👊🏾👊🏾 Ulinzi mkali wa kumfaa Malkia kabisa so make the necessary changes to #4 and it's on!!!!🤓

Cc
NDINDA
 

Duh, Bado pagumu, Boss Jitahidi tena eneo la Ulinzi [emoji1787] Hasa namba 4 we are on the Verge [emoji41]
 
Babe Jack Palladino naona ndio unaamka[emoji16].
Njoo umuone mlevi mwenzio[emoji38] anafungua kinywa kwa makande na Kilimanjaro lager [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Yaani pombe imekuwa chai safari hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki hii nafasi ya uenyekiti wa vileo kuna kinyang'anyiro Kikubwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nazimua hapa pia![emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…