Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🦁
5C7A37D2-D812-4996-ABF7-4C49566A3CA4.jpeg
 
Sasa kama siyo dikteta kwanini umuadhibu mtu kwa uhuru uliompa? Yaani ni sawa baba amuambie mwanaye achague kuenda shule au kuwa jambazi halafu akichagua awe jambazi amuadhibu wakati alimpa uhuru wa kuchagua sasa kama hakutaka mwanaye awe jambazi si angesema aende shule tu?
Yaani mtoto achague ujambazi,atenguke kiuno kwa athari za ujambazi afu arudi kumlaumu baba badala ya kulaumu uchaguzi wake!
Inashangaza!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom