Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa sababu siyo dikteta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama siyo dikteta kwanini umuadhibu mtu kwa uhuru uliompa? Yaani ni sawa baba amuambie mwanaye achague kuenda shule au kuwa jambazi halafu akichagua awe jambazi amuadhibu wakati alimpa uhuru wa kuchagua sasa kama hakutaka mwanaye awe jambazi si angesema aende shule tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…