Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila kuna mambo yanatia hasira mno kama usaliti n.k ..

Hapo chanzo cha ugomvi ndo kinapelekea kipigo .
Marehemu Mitimingi alisema hivi;"mwanaume anaambiwa ukweli kwa njia ambayo ni nzuri,na si kufokewa"
Hata kama ni kweli ana kosa..ukimfokea unafyatua kichwa chake .
Kikishafyyatuka lazima akufyatue.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndoa sio ngumu
 
Marehemu Mitimingi alisema hivi;"mwanaume anaambiwa ukweli kwa njia ambayo ni nzuri,na si kufokewa"
Hata kama ni kweli ana kosa..ukimfokea unafyatua kichwa chake .
Kikishafyyatuka lazima akufyatue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said ,

Maana imeandikwa katika Wakolasai 3:18
Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
 
Ukiwaona leo baadae sasa watakapo kuwa wanacheka na kutembea pamoja utafikiri jana hawajatwangana, ndoa ikiwa na mwanamke mwenye makelele aisehh ni rahisi sana mwanaume kutandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…