Akikubali kufanya kazi kwako, basi atakuwa ame fail kutekeleza contractual obligations, hio itakuwa ni breach of contract, kwa mujibu wa makubaliano lazima akutane na penalties za kufa mtu...πππ, kabla hujamuajiri lazima anilipe fidia, kama upo tayari kumsadia kulipa its ok, mtakuwa mmenipa faida sana... bado mie ni mshindi...πππ