NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Niliwahi kufika pia....![]()




Noma sana , Utafikiri umeshiriki Riadha umekua wa Kwanza kugusa utepe。Niliwahi kufika pia....![]()




Noma sana , Utafikiri umeshiriki Riadha umekua wa Kwanza kugusa utepe。Nilivaa kitichaticha,kama wale maticha wa mama wa zamani zamani wale.
Ila mimi ningekuwa mwalimu wanafunzi wangu wangepata kazi![]()



mie nilijisemeaga kbs, nkiwaa ticha wanafunz watafurah San, maan stakag stress mie n kuwaacha tyuuh wafanye wanavotak, JAH akaona mmh ntabug step, nmeangukiaa kwingneeee. LolPost tuone mkuu.
Halafu jana nilikuomba selfie yako.
, SubiriaMimi nina hasira za karibu..mie nilijisemeaga kbs, nkiwaa ticha wanafunz watafurah San, maan stakag stress mie n kuwaacha tyuuh wafanye wanavotak, JAH akaona mmh ntabug step, nmeangukiaa kwingneeee. Lol
Nimesubiri sana tangu janaInakuja, Subiria
Mimi nina hasira za katibu..
Ningenyoosha mno watoto wa watu.


ualimu kaz jomonee lol, ila nmemic San xcul life kiukwel, nna moments ambzo napenda ziendlee kuepo tyuh lol


Nimesoma pale juu mwanzo wa huu uzi..😵😵
go straight to the point...
siku quote post ya Mshana, anyway🙏🙏Nimesoma pale juu mwanzo wa huu uzi..
Mshana ameandika realise.
Hiyo release ni yangu tu!
Nilivyoona umequote post og ya Mshana ndio nikaandika hayo maneno niliyoyasoma
Nice Shoes.
Daaaaa nikalale sasa...
Yawezekana macho au App Yangu ilinipotosha.siku quote post ya Mshana, anyway![]()
Nimesubiri sana tangu jana
Safi sana
