Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20210928_151320_4.jpg

Baada ya kipindi kirefu kupita, hatimaye nimefumania mahali majani ya kunde. Walichonikosha ni mtindi kwa pembeni😋😋😋😋

Huu mchanganyiko Una shauriwa sana kwa sisi Wazee 😛🙈🤸🏽🏃🏻
 
Hii ishu ni very serious now days.
Tunalea kisasa sana kiasi kwamba wajibu wetu muhimu kama wazazi tunaukwepa. Leo unakuta natoka asubuhi kwenda kazini narudi saa 4 usiku watoto wamelala, weekend ndio kabisa nashinda kwenye mishe nyingine za kutafuta chapaa.
Wazazi wenzangu,tujitahidi kutenga muda kwaajili ya kuwafundisha watoto namna ya kuhusiana na wengine wawapo mbali nasi,tusipo fanya sisi dunia itawafundisha.
Utafutaji pesa usitufanye tukawa wabinafsi na kusahau wajibu wetu muhimu.
Suala la malezi kuhusu jambo hili halina uzito sana, ila sikatai malezi yasitolewe, but kupambana na hili suala linahitaji uwezo na mbinu yenye ushawishi kwa kuzuia,

Hili lipo ndani ya muhusika na linafanywa kwa siri sana,. Kikubwaa uhai tyuuh.
 
Huyu dada ana mtoto tayari??
Hongera kwake jamani
Hii kapo yao nzuri hadi raha jamani.

Dogo uwe unanipa umbea wa huko mjini Instagram..mimi nipo nyuma mno.
Teeena mie na umbea dam dam, heri nikose kula ila sio bundle khaaaah.
Ntakuaa nakupa tena ule hot hot, nipo vizuri sekta ya udaku, ukuda, ufukunyuku, umbea, nk
 
Back
Top Bottom