Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,753
Umenisaidia kupata watoto wakali kinoma...![]()
😂😂😂😂
Koleza dawa basi na wa kiume watupie picha nyingi nyingi na sie tujichagulie
Umenisaidia kupata watoto wakali kinoma...![]()



si yule mchungaji anayechekeshaga ndiyo alisema hivyo
Sura za tafadhali nipigie dah nimecheka mno![]()
Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengineNimeona mpendwa,kumbe ulikuwa una test zali nikajua kweliningejibu ndio ingekuwaje.



Nikikutana na mtu kavaa vest namwangalia kichwan
Mungu baba wa mbinguni, kuonana na mganga hapanaUmeibariki Ijumaa yangu zawadi yako inakusubiri... Ila mpaka tuonane![]()







Amri ya saba tena??
Mara ngapi ? Kwahiyo unataka kuminyana na mimi ?
Hata mie kuna mahali nimewahi iona ni wapi ndo sikumbukihii sura si ngeni kabis



pm unitolee hako kaemoj pulizzzzMganga kafanya yakeKuna watu hapa nahisi hata mambo mengine yamesimama maana kila nikizunguka nikirudi wapo tu kwenye huu uzi.

Eeh hata hio sio mbaya, jiamini tu🤣🤣🤣ipi ya kuhamisha milima au??
Unajua hawa watu hawaamini kama tupo sisi wengine wenye sura za 'tafadhali nipigie' yaani wao wakishaona picha za kina Sakayo kapeace Saint anne na Mzigua90 basi wanadhani wanawake wote ndiyo tuko hivyo
🤣🤣🤣 eti eeh,,,pm unitolee hako kaemoj pulizzzz



oohh kama ni hizo basi usiwe na presha hesabia umeshazipata
Andaa zile zinaekwaga sijui 'chokleti' zile![]()
Me mwenyewe nimeshindwa kujielewa 😀😀Umefurahi mno niambie why uko hivyo baada ya kuona picha ya 😀😀😀😀
Umenisaidia kupata watoto wakali kinoma...![]()

