Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,997
- 137,035
Hizo zako za mawifi mseto zimeishaweka mtoto mzuri, weekend hii tu enjoy.

Hizo zako za mawifi mseto zimeishaweka mtoto mzuri, weekend hii tu enjoy.

Ni kweli mkuu, mimi ni mlamba lips pia nina utoto mwingi, nivumilie tu mkuu.Kiharakaharaka nimegundua kama wewe si mtoto basi unautoto mwingi/mlamba lips...no offence
Toka lini bahari ikauke maji.Hizo zako za mawifi mseto zimeisha![]()
Itakuwa amekwenda kuomba msamaha ili aje bongo, lakini watamla kichwa awe makini.Dunia simama nishuke, siyo kweli mange apige picha na Madame President View attachment 1945183
Hahahaha kumbe na wewe unaongea hivi?
Wikiendi kila mtu anakula bata tu. Mi nakwama wapi?




Just cook. As long as you produce something edible we cool

Hangover mkuu unafanyeje kwa haya makitu? Kichwa si kitakuwa kinadunda hatari au inakuwaje?Daah kesho kazini...View attachment 1945294
Hujaamua mkuuWikiendi kila mtu anakula bata tu. Mi nakwama wapi?![]()
Naombea leo yasije kutokea kama ya mama j baada ya siku ya wananchi,mikia amkawii kutaka kulipiza
Mrembo upo?Hujaamua mkuu
Wikiendi ijayo tukiwa wazima nitajitahidi aisee. Nitaselfika hapaHujaamua mkuu
We jamaa bhana 😁😁😁Sijaona mwanamke humu wa kugusa hii level manzi yangu yupo, sura, rangi na umbo.
Kama yupo aanzishe mpambano.
View attachment 1945006
Tukijaaliwa uzima na afya nitapita mwezi wa kumiNakusalimia binti yangu. Kwema huko? Hujapita tena Lamadi au unapita kimya kimya?