Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hangover mkuu unafanyeje kwa haya makitu? Kichwa si kitakuwa kinadunda hatari au inakuwaje?
Mkuu, kabla sijalala ninakunywa glass 3-4 za maji, nikishtuka muda wowote baada ya kulala ninapiga glass ya maziwa, saa 10:30 -11:15 alfajiri lazima niamke, nikiwa dar ninajiandaa nnaenda azania front kusali, nikitoka hapo kuna mahali ninapitia kahawa...nikishindwa kufanya haya,Redbull will do its best
 
Mkuu, kabla sijalala ninakunywa glass 3-4 za maji, nikishtuka muda wowote baada ya kulala ninapiga glass ya maziwa, saa 10:30 -11:15 alfajiri lazima niamke, nikiwa dar ninajiandaa nnaenda azania front kusali, nikitoka hapo kuna mahali ninapitia kahawa...nikishindwa kufanya haya,Redbull will do its best

Umesomeka mkuu. Nitaijaribu hii mbinu siku moja (isipokuwa hapo kwenye kusali Azania Front na Redbull)
 
Umesomeka mkuu. Nitaijaribu hii mbinu siku moja (isipokuwa hapo kwenye kusali Azania Front na Redbull)
Ha ha nimekusoma chief, hata hivyo upepo wa dala dala to and from kanisani, pamoja na kuimba na kuabudu) na kahawa (caffeine) au Redbull(=caffeine)huwa vinanisaidia (mfano azania kama dk 15-20 ni kuimba na kucheza siku inaanza mtu unakuwa active), nitafanya research how nitarudisha mrejesho
 
Anamaanisha kwamba, uko makini kwa sababu ya reflection ya image yako kwenye kioo ulivyoificha, which means usingeziba uso hapo kwenye side mirror tungekuona picha yako, by the way upo makini kuziba image yako kwenye side mirror.

you are beautiful.
Asante kwa kunisaidia kufafanua mkuu. Asante sana
 
Hamna shida. Tutakwenda hapo ziwani. Utachagua mwenyewe unayemtaka. Hata utake anayepumua bado utaletewa na vijana!
966D2887-D9A9-4610-8847-3B03B2F96198.jpeg
 
Sijui mmeanzia wapi lakini ningependa kujua Kwanini sio kusali Azania.
The Wolf nikija mjini nipitie twende wote mimi ni mAzania mwenzako
Tunapeana mbinu za kuondoa hangover baada ya kujipigilia nyagi na ma K-Vant. Azania imeingia kiana japo ufanyakazi wake katika kuondoa hangover bado haueleweki vizuri na unahitaji utafiti kidogo.
 
Tunapeana mbinu za kuondoa hangover baada ya kujipigilia nyagi na ma K-Vant. Azania imeingia kiana japo ufanyakazi wake katika kuondoa hangover bado haueleweki vizuri na unahitaji utafiti kidogo.
Ohooo okyy..inawezekana lakini nafikiri ni vile ambavyo umeuzoesha mwili na kusikamia kile unachokiamini.kwani Daddy SYB wewe unatoaga hangover na nini?
 
Back
Top Bottom