Selfika na JF: Snap it. Show it

Wow, just wow, your level of stupidity has rendered me speechless, bruh.
 
Wanaume wa huku hawapendi kubishiwa. Ukibisha wanaona kama unawadharau
Ni wanaume wote mama yangu siyo hawa tu, na ndiyo maana wanakuwa disturbed sana na women empowerment maana walishazoea maisha ya babu zetu na bibi zetu wanawake walikuwa hawana sauti chochote watakachoambiwa wao ni "ndiyo mume wangu" which is kinda difficult kwa dunia ya sasa kwa kweli.
 
Unatakiwa unipate mimi ili nikupatie kitu roho inapenda. Njoo nikuoe basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…