Kwahiyo key word ya chatting imekuwa NEXT LEVEL [emoji23]?
Mtupie basi na vipicha flani hivi' vya kimafia flani , kishkaji sana, medium next level.
Currently location, The Next Level.. Njiro... Hornet nimetoka bana [emoji1635][emoji12]
Kama unapiga addition we ni wa next level... japo siamini..
Nitakwambia japo last time nilienda kutembea tu bestKijijini huko magari mengi yanatokea wapi[emoji4]
Ukienda next time nistue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee nipo next level Jamani [emoji7]Kama unapiga addition we ni wa next level... japo siamini..
Kwa jinsi ulivyoweka hayo maharagwe juu ya hilo pilau, hio ni next level, mpaka wali hauonekani...View attachment 1932381
Nipo kwenye dayati.
Mweee ungesema.Nitakwambia japo last time nilienda kutembea tu best
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usjar next time nitatoka na mwaliko wako
Daaah huu mjengo umechakaa Ambition plus . Wanipe tenda ya kuukwangua na kuweka rangi mpyaTobo la pili,UngujaView attachment 1928946
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdau humu alikuwa anatembea na
K vant na pilipili mixer malimao kilevi next level,
View attachment 1932409
Si mchezo. Mimi nahitaji wa kunifundisha kiarabu nyumbani.Watu hawalali duh, [emoji41]
Mi ndio naamka ngonja Nipige class kidogo.
Ukikijua utakuwa wa next levelSi mchezo. Mimi nahitaji wa kunifundisha kiarabu nyumbani.
Sawa mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usjar next time nitatoka na mwaliko wako
Tunashukuru next level.Kuna mdau humu alikuwa anatembea na
K vant na pilipili mixer malimao kilevi next level,
View attachment 1932409
Usiite earphone.....
Hivyohivyo mkuu .Usiite earphone.....
znaitwa earpods i12[emoji16][emoji16][emoji16]
Ni kweli situpii picha mara nyingi humu, huwa nakuwa makini sana. Siku nikitupia nitakutag maana sio kawaida yangu kupiga picha frequently[emoji3][emoji12][emoji12] Hiii bhangosha...
Hujawahi kutupia kitu hapa au ni mimi ndio sijawahi ona? Fanya basi [emoji6]
utakuwa next level ukizipata mkuuHivyohivyo mkuu .
Ushamba mzigo,sizijui hata jina..
Kikubwa amenielewa na kubwa zaidi zinifikie.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaaaUkikijua utakuwa wa next level