Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Jamani sio kwa hiyo caption. 😂 Ni kheri kama wakosoa na kurekebisha.
Ahsante kwa picha.
Ahsante kwa picha.
Niko slim/skinny, mrefu wa wastani, black, ndevu sina, pesa sina, sio mvaaji kivile, sili kwa ratiba nakula endapo tu nikihisi njaa, mtu wa indoor. Tabia yangu mbaya ni kukosoa na kurekebisha kila ninachokiona hakipo sawa.
Picha hii ya last yearView attachment 1932553
. Tabia yangu mbaya ni kukosoa na kurekebisha kila ninachokiona hakipo sawa.
Ni kheri kama wakosoa na kurekebisha.