Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,138
Ndio nimepigia hio hiyo tokea muda ule ndio napumzika muda huu?Piga Red Bull, au Azam Energy drink...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nimepigia hio hiyo tokea muda ule ndio napumzika muda huu?Piga Red Bull, au Azam Energy drink...
We ni noma ya next level.
Ingawa inategemea na aina za kazi lakini kazi za kuajiriwa ndio zina changamoto kubwaHaka ka utaratibu kufurahia break wakati wa primary school umekuja mpaka ukubwani, ikifika friday unakuwa na furaha sana... nafikiri wengi wanafanya kazi ambazo zilikuwa si ndoto zao... ni ile kufanya mkono uende kinywani hasa kazi za maofisi zinachosha sana...
kuna jarida fulani USA waliweka takwimu kwamba siku za kuamkia monday watu wengi huwa wana stress, wengine hata kupata shinikizo la damu n.k... mawazo ya kazi...
nafikiri kazi zina mchango mkubwa kwenye afya ya mtu idhoofu au iimarike...
Hivi mbowe akisema kuanzia saa hii naachana na siasa kwa ujumla, wanaweza kumuachia?Waione UVCCM Wenzangu..View attachment 1931965
Ni kweli mkuu...Ingawa inategemea na aina za kazi lakini kazi za kuajiriwa ndio zina changamoto kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa inategemea na aina za kazi lakini kazi za kuajiriwa ndio zina changamoto kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Stress za kukosa kazi ni kubwa na ngumu lakini stress za kazi ya kuajiriwa yenye boss mbaya ni mbaya zaidi na zaidiKazi za kuajiriwa nyingi ni stressful ila ukiikosa ninstress x 1000
Kukaa bila kazi napo ni kazi...Kazi za kuajiriwa nyingi ni stressful ila ukiikosa ninstress x 1000
Sana mzee.Mziki flan hv lainiiiiiiii![]()
Mziki flani next level...Sana mzee.
Ukamatie na hii smart watch, unaua mtaaMziki flani next level...
Kabisa, una wa murder... watch next level hio bro...Ukamatie na hii smart watch, unaua mtaaView attachment 1932341
Futa picha zangu dogoau unataka likukute jambo?
Hiyo ni ya chuo, sketi iliyoniangusha ilikuwa ni chalanga. Nilichekwa hiyo siku

Kali sana...Kabisa, una wa murder... watch next level hio bro...
Mara mia upate stress ukiwa kazini kuliko kupata stress ukiwa nyumbani unasugua bench..Kazi za kuajiriwa nyingi ni stressful ila ukiikosa ninstress x 1000
Dundo flan iv maqin sana