Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Mara mia upate stress ukiwa kazini kuliko kupata stress ukiwa nyumbani unasugua bench..
Unakuta hata mia tano ya vocha ngumu kupata.
Sent using Jamii Forums mobile app

. Ukiwa bench hata mwanaume wa kukupa salamu haupati 








