Selfika na JF: Snap it. Show it

Daah mwenyewe shule sitaki kuisikia tena aisee
 
Daah mwenyewe shule sitaki kuisikia tena aisee
Shule wengine wanaona ni kama sifa, kuna jamaa alirudi shuleni kusoma engineering eti kisa gf wake alikuwa engineer, sasa katika chatting gf alikuwa ana terminologies za ki engineer, jamaa akaona ya nini kunyanyasika akarudi kusoma engineering waende sawa eti hataki kuzidiwa, cha ajabu hata cheti hakimsaidii lolote...

Kusoma ni kipaji mkuu...
 
Kweli kusoma kipaji.

Wengine tumemaliza fom tuu na shule ikaishia hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…