Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Tumbo? Kwa kweli naliona limejaa dogo 😂
Jana si nikapiga pic ugali nikasema nitakupostia nikutag uone. Maana naona na wewe una pigo za kisley qwin.
Saint Anne kwani we ukikaa hupati hips? Kuna hizo hips zipo kwa kila jinsi KE, ukikaa tu lakini ukisimama hamna kitu 🤣
Mkuu umefufuka?Yapi yalikusibu,i wanna know!
Jana si nikapiga pic ugali nikasema nitakupostia nikutag uone. Maana naona na wewe una pigo za kisley qwin.
Me hako ka ugali hakiii nitaumwa njaa saa 5 tu.

Wenyewe wanasema kula si kunenepa. 😂
Dah 🤣🤣🤣
Umesahau vitarakimu 10 tu please
Mkuu umefufuka?Yapi yalikusibu,i wanna know!


acha tu mkuu naambiwa kuna mkubwa alichafukwa akaaza kutembeza vipigo kama hamza
vilio vilikuwa vingiTarakimu gani mkuu 🤔Umesahau vitarakimu 10 tu please
Zile zinazoanza na 07....au 06...Ila tuma inbox yangu tu nikupe hi.Tarakimu gani mkuu![]()
Kigamboni ni nchi nyingine ile ujue. Kama hulali shurti kuondoka mapema 🙂Mbona sasa umewahi kuondoka lizzy..
Unamtafuta tena au 🤣acha tu mkuu naambiwa kuna mkubwa alichafukwa akaaza kutembeza vipigo kama hamza
vilio vilikuwa vingi
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Sasa huo ugali mbona kidogoUnaona vitu vya wakulungwa? Saint Anne
Valentina kujaa. Na vile huonagi mention nakuita tu basiView attachment 1925931
Unafanana na ule wako? Ule wako hapo si unakata mara 4!.