ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Gambe lazma na awe na ushenzi wa chini chini pia. Aweze kuni suprise mara moja moja nisiamini nnachoshuhudiaLazima waifu awe anakula gambe au? Kama wewe sio mshika dini sana/mlokole; kwa kweli mlokole kaa naye mbali tu




Kwanza naomba nianze na maana ya hizi htpp:// na htpps://
hii ambayo haina (s) mwishoni yaani http: hiyo hufahamika kama (hypertext tansfer protocol, hiyo kitaalamu Ni search engine inayotumika kutafuta au kukupeleka kwenye website fulani Sasa Ukiona umetumiwa link na imeanza na http: bila (s) mwishoni basi ujue hiyo sio salama
Kampuni zote zinafahamu wateja wake zikitaka kutoa offer basi zitawafuata kupitia taratibu zao na sio kutuma links zenye viruses