Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20210902_143530_211.jpg


Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Nawiwa kushiriki nanyi hili neno usiku huu
1 Petro 4:2-3
[2]Tangu sasa msiendelee kuishi katika tamaa za wanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu, wakati wenu uliobaki wa kukaa hapa duniani.

[3]Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuenenda katika ufisadi, na tamaa, na ulevi, na karamu za ulafi, na vileo, na ibada ya sanamu isiyo halali;

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
TUJIFUNZE KIDOGO KUHUSU HIZI LINKS NA EMAILS

Kwanza naomba nianze na maana ya hizi htpp:// na htpps://

htpp:// hii ambayo haina (s) mwishoni yaani http: hiyo hufahamika kama (hypertext tansfer protocol, hiyo kitaalamu Ni search engine inayotumika kutafuta au kukupeleka kwenye website fulani Sasa Ukiona umetumiwa link na imeanza na http: bila (s) mwishoni basi ujue hiyo sio salama

Hiyo (s) inakazi yake kubwa sana ambayo ni ulinzi wa taarifa kwa anaye bofya link

https: maana yake ni (hypertext transfer protocol secure).....hapo utaona hiyo (s) kazi yake ni (secure) yaani ulinzi

Sasa links zote ambazo zina (http🙂 na siyo (https🙂 hizo zina viruses kwa lengo baya kwako

Hizi Links huwa zinatengenezwa kwa sababu mbalimbali na sababu kuu ikiwa ni kudukua (ku-hack) taarifa za watu

Na kwakuwa watu wanapenda vitu vya bure na rahisi basi huwa wanaandika utapewa zawadi pale utakapowatumia watu hiyo link

Sasa ukibonyeza hiyo link unaweza ukaambiwa weka namba zako za simu au email yako

Ukiweka hizo taarifa zako basi wao wanaweza kuchukua taarifa zako na kuweza kufuatilia mawasiliano yako au kukuibia pesa zako kwenye account zako zakifedha

Na Kama ulitumiwa link yenye (htpp🙂 kwenye Facebook au Instagram au mtandao mwingine wakijamii na ukabofya hiyo link maana yake HIYO ACCOUNT YAKO TAYARI WAMEISHIKILIA NA WAKATI WOWOTE WAKIAMUA WANAWEZA KUICHUKUA AU KUTUMA KITU CHOCHOTE KWENYE ACCOUNT YAKO

MUHIMU

Email za kweli inapoandikwa, huwa likitoka jina la kampuni ndio linafuata neno kama vile (@gmail.co)

Mfano Ukiona imeaandikwa (Coca-Cola@gmail.com) basi hiyo link ni ya Coca-Cola, lakini ukiona imeandikwa (Coca-Cola.money@gmail.com) hiyo email ni ya uongo, hivyo email ya kweli ni lazima ianze jina la kampuni au jina la mtu ndipo ifuate ile (gmail.com) Ukiona umeandikiwa jina la kampuni halafu yakafuata maneno mengine, halafu ndio (gmail.com), basi tambua huo ni wizi, mfano hata link ikiwa hivi (www.amazon.com), hiyo ni sahihi kwasababu Amazon ndio kampuni na ndio wamiliki wa link website hiyo hivyo kivyovyote vile taarifa zako ziko salama lakini ukiona (www.amazon.wd.com) hiyo sio yakweli maana tayari kuna vitu vimeongezewa hapo mbele

Kampuni zote zinafahamu wateja wake zikitaka kutoa offer basi zitawafuata kupitia taratibu zao na sio kutuma links zenye viruses

ASANTENI NAAMINI TUMEJIFUNZA KITU

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom