Mi nawashangaa mnatafuta waume kanisani. Husband material utampata bar au grocery








,na tamaa hujakata



.Uzee huooo..kitambi hichoóoView attachment 1921288
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app

Ahaa nimeona but not sure kama ulikua unakunywa weweAsante ISO
Jack Palladino
Umeona??
Bado huniamini?
Nishakuwa mlevi.
Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa hapo sijalewa. Nikilewa ndo unabembelezwa mpaka unacheka
Walevi mna umoja sana halafu mna care,,,imagine nafunguliwa hadi kinywaji,,nabebembelezwa kunywa
Nabembelezwa kula nyama
Na bado nikashindwa kunywa,na tamaa hujakata
That kafeeling.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu muulize huyo jamaa aliyeipostAhaa nimeona but not sure kama ulikua unakunywa wewe![]()
.
.Sasa hapo sijalewa. Nikilewa ndo unabembelezwa mpaka unacheka

.Pale ushakuwa maarufu bila shaka. Inabidi tuamshe popo
Usiniambie hukulewa ile kvant.
I wish nikushuhudie ukiwa umeelewa, ngoja nitafute siku nijilipue nikuone..ila pasiwe pale.
Sent using Jamii Forums mobile app

Kudakwa dk sifuri tuPale ushakuwa maarufu bila shaka. Inabidi tuamshe popo![]()

..mara nakutana Naye
haki ya nani Mimi,



Pale ushakuwa maarufu bila shaka. Inabidi tuamshe popo![]()
Pale ndo ushakuwa blacklistedKudakwa dk sifuri tu
Maana Kuna mtu huwa kila siku anaenda tuchukulia pale chakula..mara nakutana Naye
haki ya nani Mimi,
Na alivyo mbea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho nna family event doohKesho unaliamshia wapi ?
Nna vibe
Pale ndo ushakuwa blacklisted
Now umeelewa kwanini hatunywagi viwanja vya nyumbani tunaenda kunywea mbali?

Hicho siyo kitambi,hiki cha kwangu nitasemaje?😔😔😔Uzee huooo..kitambi hichoóoView attachment 1921288
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Kiatu inawaka kama buti la Afande 😂 tena ile J3 ya master paredi.
Unatumia nguvu nyingi dogo... Walevi hawaongeagi sana.Asante ISO
Jack Palladino
Umeona??
Bado huniamini?
Nishakuwa mlevi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia nguvu nyingi dogo... Walevi hawaongeagi sana.






Si nikajua hapo road ndio Rchuu. Nikasema tumeanza saa ngapi kuwa na foleni road.
Welcome to the club bana, punguza lomolomo mingi.