Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Rchuga moja
JPEG_20210902_182533_6373900389939527480.jpg


Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Mi nawashangaa mnatafuta waume kanisani. Husband material utampata bar au grocery
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walevi mna umoja sana halafu mna care,,,imagine nafunguliwa hadi kinywaji,,nabebembelezwa kunywa[emoji23]
Nabembelezwa kula nyama[emoji23]
Na bado nikashindwa kunywa[emoji1751],na tamaa hujakata[emoji38]

That kafeeling[emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walevi mna umoja sana halafu mna care,,,imagine nafunguliwa hadi kinywaji,,nabebembelezwa kunywa[emoji23]
Nabembelezwa kula nyama[emoji23]
Na bado nikashindwa kunywa[emoji1751],na tamaa hujakata[emoji38]

That kafeeling[emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo sijalewa. Nikilewa ndo unabembelezwa mpaka unacheka
 
Pale ushakuwa maarufu bila shaka. Inabidi tuamshe popo [emoji23]
Kudakwa dk sifuri tu[emoji38]
Maana Kuna mtu huwa kila siku anaenda tuchukulia pale chakula[emoji1787]..mara nakutana Naye[emoji38]haki ya nani Mimi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na alivyo mbea [emoji2960]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudakwa dk sifuri tu[emoji38]
Maana Kuna mtu huwa kila siku anaenda tuchukulia pale chakula[emoji1787]..mara nakutana Naye[emoji38]haki ya nani Mimi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na alivyo mbea [emoji2960]


Sent using Jamii Forums mobile app
Pale ndo ushakuwa blacklisted

Now umeelewa kwanini hatunywagi viwanja vya nyumbani tunaenda kunywea mbali?
 
Back
Top Bottom