Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Kesho nna family event dooh
Afadhali manake. Nilisahau kama nimeacha


Kesho nna family event dooh


Hiii weekend haikupiti salamaAfadhali manake. Nilisahau kama nimeacha![]()
Welcome to the club bana, punguza lomolomo mingi.







Si nikajua hapo road ndio Rchuu. Nikasema tumeanza saa ngapi kuwa na foleni road.


Patandi hapoHmmmm...mbona haya mahitaji yako familiar sana?????????🙄🙄🙄🙄In progressView attachment 1921079


Mi nawashangaa mnatafuta waume kanisani. Husband material utampata bar au grocery
Walevi mna umoja sana halafu mna care,,,imagine nafunguliwa hadi kinywaji,,nabebembelezwa kunywa
Nabembelezwa kula nyama
Na bado nikashindwa kunywa,na tamaa hujakata
That kafeeling.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hapa kiuhalisi mambo yanaenda kinyume na maandiko.... hata mi siwezi kuoa mlokole au mshika dini sanaaDaah nimejikuta nimecheka kwa nguvu![]()
Lazima waifu awe anakula gambe au? Kama wewe sio mshika dini sana/mlokole; kwa kweli mlokole kaa naye mbali tuYani hapa kiuhalisi mambo yanaenda kinyume na maandiko.... hata mi siwezi kuoa mlokole au mshika dini sanaa