Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,484
Kesho nna family event dooh
Afadhali manake. Nilisahau kama nimeacha [emoji28][emoji28]
Kesho nna family event dooh
Hiii weekend haikupiti salamaAfadhali manake. Nilisahau kama nimeacha [emoji28][emoji28]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afadhali manake. Nilisahau kama nimeacha [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Welcome to the club bana, punguza lomolomo mingi.
Nitaacha kuanzia leo[emoji19][emoji19][emoji19]
Hii mimba ya pacha[emoji23][emoji23][emoji23]Hicho siyo kitambi,hiki cha kwangu nitasemaje?[emoji17][emoji17][emoji17]View attachment 1921402
[emoji3][emoji3][emoji3]Patandi hapoSi nikajua hapo road ndio Rchuu. Nikasema tumeanza saa ngapi kuwa na foleni road.
Hmmmm...mbona haya mahitaji yako familiar sana?????????🙄🙄🙄🙄In progressView attachment 1921079
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nawashangaa mnatafuta waume kanisani. Husband material utampata bar au grocery
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walevi mna umoja sana halafu mna care,,,imagine nafunguliwa hadi kinywaji,,nabebembelezwa kunywa[emoji23]
Nabembelezwa kula nyama[emoji23]
Na bado nikashindwa kunywa[emoji1751],na tamaa hujakata[emoji38]
That kafeeling[emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hapa kiuhalisi mambo yanaenda kinyume na maandiko.... hata mi siwezi kuoa mlokole au mshika dini sanaaDaah nimejikuta nimecheka kwa nguvu[emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima waifu awe anakula gambe au? Kama wewe sio mshika dini sana/mlokole; kwa kweli mlokole kaa naye mbali tuYani hapa kiuhalisi mambo yanaenda kinyume na maandiko.... hata mi siwezi kuoa mlokole au mshika dini sanaa