Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

1 year....View attachment 1890132

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Na mimi leo ngoja niposti mwanangu,kwa nini iwe ninyi tu kila siku.
AADM40.jpg
 
Mkuu hii recipes yake ikoje?, haswa kwenye marinating kabla hujaoka.

Pia unaoka kwa muda gani?, unafunika na foil au bila foil wakati wa kuoka?

Limao, kitunguu saumu, coriander, paprika, tomato paste, barbecue sauce, chumvi, n.k.

Kuoka inategemea na nguvu ya umeme kwako. Anza na dakika 30. Situmii foil.
 
Back
Top Bottom