Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimecheka sana,
Ngoja na mimi siku moja nitajaribu t-shirt ya mtoto wa watu.



Nimekumiss pia,nimemmiss ISO M.CodD
Dah yaani natamani turudiee..nilikaa na nyie muda mfupi sana,hata hatukupiga stori sana.
Roho iliniuma Sana.

Enjoy what you have (what you get)

Don’t be disappointed by what you can’t get

Usijali anytime ukiwa na time nichek tunaweza kuarrange kitu

Ila ilikuwa nilienjoy kwa kweli

JF idumu.
 
Enjoy what you have (what you get)

Don’t be disappointed by what you can’t get

Usijali anytime ukiwa na time nichek tunaweza kuarrange kitu

Ila ilikuwa nilienjoy kwa kweli

JF idumu.
Nyie watu ni wacheshi mno
Wewe nilikuzoea ndani ya dakika chache tu


Mungu akijaalia,ratiba zikikaa vizuri tunairudia
 
IMG-20210811-WA0239.jpg
 
Hmmmm

Sasa mbona kama ni hatari plus..plus??? Maana mkiwa wakorofi wote kesi zenu hazitokaa ziishe. Hamna wa kujishusha wala kukubali kushìndwa
Hapana..mimi hawa dada zangu nawajua...sehemu ya kujishusha ili tu mambo yaende nitafanya hivyo..

We nipe tu huyo dada na utakuja kushuhudia our 50yrs anniversary ya ndoa yetu if God keep us alive.
 
Back
Top Bottom