Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,347
- 17,671
kapendeza kinoma wananchi inabidi tutulie tu.Dogo kapendeza na uzi wa mnyamaaaaa!![]()
kapendeza kinoma wananchi inabidi tutulie tu.Dogo kapendeza na uzi wa mnyamaaaaa!![]()
Nimekupokea nkamu
Hi Salimeti, you're missed from this side, sijakuona humu🤔Jamani soulimeti![]()
nikiona watu wanapendana nakumbuka mbaliView attachment 1885290
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Chief unaendeleaje?
Guu la bia ya kilimanjaro
😀 kiukweli hata si guu la bia ndhani ni picha tu ,nna kiguu chembembe😂Guu la bia ya kilimanjaro
Mamaa weee huyu si wale wanaochorwaga wale, uko vizurii
Ndo wanaitaga Guu la bia... au me nakosea😁
😂😂😂😂IlifiKa 4C nasikiaNimekimbia baridi.
hahahahahahhahaha ww ndio huyo.....hapana sio wwWewe mbona umenipiga picha![]()
tofauti kati yake na mlima kilimanjaro ni Barafu Tu😂Mamaa weee huyu si wale wanaochorwaga wale, uko vizurii