T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
!!
Tuwaambie Kama tulionanaTumwache aende church tu
Ukakataa kata kata kunywa pombe ukanywa grand malt
Ah dadeqSomething like amarula Kwa glass?
Kweli Hornet ndiyo wa kunywa ile lite moja nayoiona?
Gland malt inaleta nzi mezani...
Me nimestop vilevi until further notice![]()


.
,kwahiyo Grand malt inaleta nzi



Tuishie hapaUkakataa kata kata kunywa pombe ukanywa grand malt







.Heineken zaidi ya 6 sitoboi. Nataka siku nijaribu 10 hapo ndani mdogo mdogo nione kuzima kupoje...Hakuna kurara.View attachment 1884707
Dogo






Aiseeee dharula imeniokoaWewe ni dhaifu![]()


Ah dadeq
Dogo inabidi upewe ukatibu wenezi wa uchambuzi wa vileo
Yaani unatambua kinywaji kwa kuangalia glass tu.
Dah,kwahiyo Grant malt inaleta nzi
Je ningeahiza fanta orange,si ndio ningehamishia majeshi ya nzi mezani![]()
Ninatoa huduma ya evening classes ' karibu ujifunze...Dogo
Una balaa
Yaani hadi hiyo umeitambua tu kwenye glass![]()