Enzi hizo nilikuwa bwana mdogo niko Shuleni pale Mbeya so nikiwa nimechoka kula ugali maharage nafika zangu abroad nagonga kiepe.
Next week nitapita tena Mbeya, kwahiyo lazima nikahemee viazi, maparachichi, hoho, carrot, ndizi za kutosha na Mchele wa Kamsamba. Kwahiyo miss
Depal andaa chombo tu cha kubebea 😀