geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,235
itakua August mwishoni wa September mwanzoni...Waiiiii
Ile match yetu inachezwa lini? Nianze kuandaa mambo [emoji23]
Happy belated birthday mujukuu.Wanaselfika mimi mwanachama mwenzenu leo nimefanikiwa kuongeza mwaka mwingine......imetimia 28
Mwakani inabd nioe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]si ett??
happy birthday to me GERALD View attachment 1870953
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nilipita hapa jana jioni! Niko ununio sasa hivi. [emoji23][emoji1][emoji1][emoji1] Twende?
asante bibi[emoji817][emoji177]Happy belated birthday mujukuu.
Safi kabisaNa mudu toboa international siiishii Local,
Kula bata bitch kama sita siishii Coco,
Ma saa 6 nipo studio siishiwi vocal,
Ma ngosha kwa Rap game ndiyo tunalimudu soko,
Soon natupia cover ya nyimbo yangu humu inaitwa na MUDU nahitaji support yenu
[emoji16]
Wazee wa chanjoMjenzi huru [emoji28][emoji28]View attachment 1873906
Machakani hadi ununio ni chocho kwa chocho imooo 😂Nilipita hapa jana jioni! Niko ununio sasa hivi. [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]Wazee wa chanjo
Karibu kanisani kwetu kuna nusu mkesha.Wale wa mbeya! sehemu ipi ni nzuri ya kusindikiza ijumaa ya leo...