Unajua nini mtakatifu...najua inauma mno mno na machungu ya kumpoteza mzazi hasa ikiwa kama ulikuwa ukimtegemea.
Jikaze!muombe Mungu amani ya moyoni..najua katika hali ya kibinadamu ni ngumu.muombe Mungu atakusaidia.usilalamike wala kunungβunika muombee pumziko la milele..kifo hakizoeleki.. muda sahihi utafika utajikuta hata huu muda unaowaza mwisho wa dunia ufike Yesu aje kukunyakua hautakuwepo.
Mshukuru Mungu kwa kila kitu.
Mwanga wa milele umwangazie baba yetu aendelee kupumzika kwa amani.
Naelewa.sasa fanya yafuatayo
Fanya kama ulivokuwa wafanya week chache ukimaliza 40 jitahidi upate tour hasa sehem za wanyama na bahari .
Sahau/usicheki picha za baba kwa sasa.
Usikumbuke sauti yake kwa sasa kwanza.
Jitahidi Sana kufanya mazoezi walau weekend jiunge na wale jogging.
Unajua nini mtakatifu...najua inauma mno mno na machungu ya kumpoteza mzazi hasa ikiwa kama ulikuwa ukimtegemea.
Jikaze!muombe Mungu amani ya moyoni..najua katika hali ya kibinadamu ni ngumu.muombe Mungu atakusaidia.usilalamike wala kunungβunika muombee pumziko la milele..kifo hakizoeleki.. muda sahihi utafika utajikuta hata huu muda unaowaza mwisho wa dunia ufike Yesu aje kukunyakua hautakuwepo.
Mshukuru Mungu kwa kila kitu.
Mwanga wa milele umwangazie baba yetu aendelee kupumzika kwa amani.
Naelewa.sasa fanya yafuatayo
Fanya kama ulivokuwa wafanya week chache ukimaliza 40 jitahidi upate tour hasa sehem za wanyama na bahari .
Sahau/usicheki picha za baba kwa sasa.
Usikumbuke sauti yake kwa sasa kwanza.
Jitahidi Sana kufanya mazoezi walau weekend jiunge na wale jogging.
"/ I did things for her; I ain't rich I ain't poor,
I wanted to do more, but hell I just ain't know her / Well enough to know if this is all she came for, but enough to know tonight excited she came four.../ ...Times...to my cousin house to see if I was there /"