Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,491
Asante jirani 🙏🙏🙏Pole sana
Mungu ni mwema, I'm doing good now.
Asante jirani 🙏🙏🙏Pole sana
Siyajui.
Pweza ukimchemsha tu anakuwa rangi redOh kwa picha tu linaonesha inogile, niliwahi kuona jekundu nikasema wametia food colour ama.
Yapi hayo na wee mmmmh.Mpaka uache ma2c
You've my word, mtumishi mwenzanguStill waiting
Too Early!!!Good night everyone View attachment 1834011
Nmekaa makete hapo kama miezi sita, nakumbuka tulipika nyama tukawa tumeitumia imebaki, tulipata safari kutoka kidogo na kurudi ndani ya siku tano tuliikuta haijachacha wala kuharibika tukaichemsha tukapika ugali na maisha yakaendelea. Mboga ikawa kama tuliiacha mchana tukaitumia jioni, n baridi hapo sijapata kuona
Vdole vya mwanamke hvyo..?Mwenye jina lakeView attachment 1834174
Kumbe yule mjukuu wako huwa anajifunza m2c kutoka kwenye video za babu yake!🚶🚶🚶🚶
Ni salad kipenziKipendhii mbna sijaelewa hapa.?