Sijambo mie.Hujambo mkuu
Inategemea na uwezo wa muoaji,Ng'ombe utapata lakini ujiandae kutuzalia watoto 8+![]()



Hivi dear, hiki kiatu ndiyo kile nilikuagizia kutoka Italy??
Kule wenzio wanakula vyakula vya asili, ndiyo maana kwa nguvu zao Mke mmoja hatoshelezi.Inategemea na uwezo wa muoaji,![]()
Hata kwetu pia vyakula vya asili tyuuh, so tutawezana.Kule wenzio wanakula vyakula vya asili, ndiyo maana kwa nguvu zao Mke mmoja hatoshelezi.
Sijui kama utahimili mwendo![]()


😲😲Noma, mboga gan hyo