Selfika na JF: Snap it. Show it

Tahadhari :

Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu.

Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha.
Kwahiyo wake zako wote wanaruhusiwa kutuma picha zao humu isipokuwa huyo wa tatu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…