Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,084 Oct 4, 2019 Thread starter #10,041 Zurri said: Tahadhari : Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu. Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha. Click to expand...
Zurri said: Tahadhari : Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu. Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha. Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,042 ArIeN said: msije mfanya aone jf chungu Click to expand... anayo ID nyingine.
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,043 ni kweli said: Asante Wazee wa ku zoom samples za vidole tunasema umekamilika kila idara. Click to expand... Ewaaaaaah
ni kweli said: Asante Wazee wa ku zoom samples za vidole tunasema umekamilika kila idara. Click to expand... Ewaaaaaah
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,044 SHIMBA YA BUYENZE said: Ukila unashibaga? Click to expand... Ndiwo.kwanini?
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,045 sumbai said: Hii ni huyo dada mnaemchambua kamakaranga (pisi ya jamaa mwenye jina gum) au ndio malaika wetu yule black beauty. Click to expand... Dark angel
sumbai said: Hii ni huyo dada mnaemchambua kamakaranga (pisi ya jamaa mwenye jina gum) au ndio malaika wetu yule black beauty. Click to expand... Dark angel
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,046 Shunie said: Mashallah Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,047 Mshana Jr said: Dah... lipo Click to expand... Sijashinda bado?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,084 Oct 4, 2019 Thread starter #10,048 Dar moko hiyo... Break ya kwanza kigamboni.. Bata mapemaaaaa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Oct 4, 2019 #10,049 Hannah said: ninyamaze nini tena mbona jana sikusumbua kabisa. Click to expand... Jinsi mlivyomchamba Haki ya Nani nilitaka kuzimia kwa kicheko
Hannah said: ninyamaze nini tena mbona jana sikusumbua kabisa. Click to expand... Jinsi mlivyomchamba Haki ya Nani nilitaka kuzimia kwa kicheko
Avatar JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 11,128 Reaction score 11,938 Oct 4, 2019 #10,050 Karibu scuba hapa Mshana Jr said: Dar moko hiyo... Break ya kwanza kigamboni.. Bata mapemaaaaaView attachment 1223237 Click to expand...
Karibu scuba hapa Mshana Jr said: Dar moko hiyo... Break ya kwanza kigamboni.. Bata mapemaaaaaView attachment 1223237 Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,051 Zesh said: Haya vimbau wote tunawatakia asubuhi na weekend njema Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Oct 4, 2019 #10,052 Hannah said: Unajua kujitetea . Weee Depal akishindana na mimi ya kugeuka ajiandae kushindwa. Click to expand... Yule anaweza kujaribu Mimi kwa kweli niwie radhi tu Najihami mapemaaaa
Hannah said: Unajua kujitetea . Weee Depal akishindana na mimi ya kugeuka ajiandae kushindwa. Click to expand... Yule anaweza kujaribu Mimi kwa kweli niwie radhi tu Najihami mapemaaaa
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,053 Mzigua90 said: Kiuno nyigu... una shape nzuri mno mno mno Click to expand... Kama ya kwako.
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,054 Zurri said: Tahadhari : Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu. Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha. Click to expand... Acha mkwara
Zurri said: Tahadhari : Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu. Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha. Click to expand... Acha mkwara
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,493 Oct 4, 2019 #10,055 Zurri said: Tahadhari : Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu. Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha. Click to expand... Kwahiyo wake zako wote wanaruhusiwa kutuma picha zao humu isipokuwa huyo wa tatu??
Zurri said: Tahadhari : Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu. Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha. Click to expand... Kwahiyo wake zako wote wanaruhusiwa kutuma picha zao humu isipokuwa huyo wa tatu??
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,056 Saint anne said: Jinsi mlivyomchamba Haki ya Nani nilitaka kuzimia kwa kicheko Click to expand... Sio wewe uliniambia Siku hizi nimekuwa mpole hadi natia huruma?
Saint anne said: Jinsi mlivyomchamba Haki ya Nani nilitaka kuzimia kwa kicheko Click to expand... Sio wewe uliniambia Siku hizi nimekuwa mpole hadi natia huruma?
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,324 Oct 4, 2019 #10,057 Walah ninakugawa!!!! Hannah said: Haya hayaishi kirahisi. Nabakiza na ya kesho Click to expand...
Jimmie Gatsby JF-Expert Member Joined Mar 7, 2013 Posts 3,588 Reaction score 7,287 Oct 4, 2019 #10,058 Shunie said: Mashallah Click to expand... insta babe nakusalimuuuuu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,493 Oct 4, 2019 #10,059 Hannah said: Sio wewe uliniambia Siku hizi nimekuwa mpole hadi natia huruma? Click to expand... Naona hakumjua vizuri the tiger in you aliona ukondoo wako wa nje tualivyoona umeacha kujiita dark angel akajua na udevil utakuwa umekwisha kabisa, kwamba sasa umekuwa Hannah Montana.
Hannah said: Sio wewe uliniambia Siku hizi nimekuwa mpole hadi natia huruma? Click to expand... Naona hakumjua vizuri the tiger in you aliona ukondoo wako wa nje tualivyoona umeacha kujiita dark angel akajua na udevil utakuwa umekwisha kabisa, kwamba sasa umekuwa Hannah Montana.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,084 Oct 4, 2019 Thread starter #10,060 Hannah said: Sijashinda bado? Click to expand... Nikisema hujashinda hata shetani atanichukia